Mama Salma Kikwete afunguka maisha yake ya uraiani

nibaki kucheka mie niongeze siku za uhai hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Duh kaweka wazi maana kipindi kile Kikwete akiapishwa ikifika kwenye historia yake walikuwa wakisema ana mke na watoto kadhaa.... kumbe ni tisa!!!!!

Vipi kuhusu hisa za UDA hawajamuuliza?

Anaposema Mwanawe akiandikwa vibaya anamaanisha kuhusu UDA? sijaona ubaya anaoandikwa nao kwenye magazeti au mitandao ya jamii...

Wangemuuliza kama yupo tayari kutumbuliwa?

Pia wangemuuliza kuwa watu wengine tunahisi yeye ndie FaizaFoxy je ni kweli
 
Huwa hamtaki kukubali ila lumumbaz wengine wameshakiri kuwa ccm inatumia sera za Upinzani. Teh teh teh....
Mbona mnawatetea wanaotumbuliwa kama sera ni zenu? Mbona mnalialia juu ya sukari wakati sera ni yenu nyie watu vipi?
 
M


Magu anatumbua chunusi pembeni ila majipu yaliopo kati kati wala hayagusi....
au labda atatafuta mlango wa kuingilia..
Jipu moja wapo si Lowasa mbona hamlalamiki limeachwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…