Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete leo amenusurika kupata ajali baada ya Lori linalodaiwa kuwa na magendo kukaidi amri ya polisi kusimama kupisha msafara huo... Gari la usalama lililazimika kulikinga gari la Mama Salma Kikwete... Hali iliyolazimisha Gari la alilipanda Mama Salma kutoka nje ya Barabara... Ajali hiyo ilisababisha baadhi ya magari yaliyokuwa katika msafara huo kutoka nje ya barabara kuepuka ajali... SOURCE: Radio One (Taarifa ya habari ya saa 7)