Umemsahau na nape mkuuKuna hawa mapoyoyo wanne Ummy Mwalimu, Hussein Bashe, Mwigulu Nchema na January Makamba.
Ni watanzania tu ndio wanaweza ona watu wa maana, ila kwengine ni watu waliopewa wizara sensitive sana halafu wenyewe uwezo wao mdogo sana.
Huyu Kingussie ndiyo alipeleka vitanda kwenye jimbo la lisu au. Tena lisu akiwa hospital Nairobi???Kingu katumia muda wake wote kusifia na sekunde km 30 kaongelea jimbo lake
Bimkubwa naye kilaza sanaHawa wahuni wamejipanga kubebana. Kuna mbunge wa mtwara mmoja muda wake kuchangia ni kumsifia januari makamba tu. Eti wabunge kufanyiwa maonesho hapo bungeni wakaona kwa technologia kile kinaendelea bwawa la nyerere ndio januari anaupiga mwingi sana. Mwenyewe januari tusisahau alipinga ujenzi wa hilo bwawa eti litaharibu mazingira.
Salma kikwete nae kasifu januari hadi basi tu. Dakika karibu zote ni kusifu tu januari na maharage.
Sisi tunasubiri tu hawa wahuni watafuta ukuu tuone wanataka nini. Tunataka kurejesha nchi kwa wazalendo sio kuendelea kuongozwa na wapigaji.
Povu ruksa.
Hasa BASHE JAMAAAA KIAZI SANA KOPO TUPU NA PIPA TUPU LISILOKUWA NA UELEWA HATA KIDGOKuna hawa mapoyoyo wanne Ummy Mwalimu, Hussein Bashe, Mwigulu Nchema na January Makamba.
Ni watanzania tu ndio wanaweza ona watu wa maana, ila kwengine ni watu waliopewa wizara sensitive sana halafu wenyewe uwezo wao mdogo sana.
ndege wanaofanana huruka pamoja.Hawa wahuni wamejipanga kubebana. Kuna mbunge wa mtwara mmoja muda wake kuchangia ni kumsifia januari makamba tu. Eti wabunge kufanyiwa maonesho hapo bungeni wakaona kwa technologia kile kinaendelea bwawa la nyerere ndio januari anaupiga mwingi sana. Mwenyewe januari tusisahau alipinga ujenzi wa hilo bwawa eti litaharibu mazingira.
Salma kikwete nae kasifu januari hadi basi tu. Dakika karibu zote ni kusifu tu januari na maharage.
Sisi tunasubiri tu hawa wahuni watafuta ukuu tuone wanataka nini. Tunataka kurejesha nchi kwa wazalendo sio kuendelea kuongozwa na wapigaji.
Povu ruksa.
Rushwa inafanya watu wanakuwa wapumbafu snHawa wahuni wamejipanga kubebana. Kuna mbunge wa mtwara mmoja muda wake kuchangia ni kumsifia januari makamba tu. Eti wabunge kufanyiwa maonesho hapo bungeni wakaona kwa technologia kile kinaendelea bwawa la nyerere ndio januari anaupiga mwingi sana. Mwenyewe januari tusisahau alipinga ujenzi wa hilo bwawa eti litaharibu mazingira.
Salma kikwete nae kasifu januari hadi basi tu. Dakika karibu zote ni kusifu tu januari na maharage.
Sisi tunasubiri tu hawa wahuni watafuta ukuu tuone wanataka nini. Tunataka kurejesha nchi kwa wazalendo sio kuendelea kuongozwa na wapigaji.
Povu ruksa.
rushwa hupofusha mambo.rushwa huangusha mamlaka.Rushwa inafanya watu wanakuwa wapumbafu sn
Surerushwa hupofusha mambo.rushwa huangusha mamlaka.
Kwani wewe mtu akisifiwa unaumia nini? Wenye roho kama zako Huwa ni wachawi.Hawa wahuni wamejipanga kubebana. Kuna mbunge wa Mtwara mmoja muda wake kuchangia ni kumsifia Januari Makamba tu.
Eti wabunge kufanyiwa maonesho hapo bungeni wakaona kwa technologia kile kinaendelea bwawa la Nyerere ndio Januari anaupiga mwingi sana. Mwenyewe Januari tusisahau alipinga ujenzi wa hilo bwawa eti litaharibu mazingira.
Salma Kikwete nae kasifu Januari Makamba hadi basi tu. Dakika karibu zote ni kusifu tu Januari na Maharage Chande.
Sisi tunasubiri tu hawa wahuni watafuta ukuu tuone wanataka nini. Tunataka kurejesha nchi kwa wazalendo sio kuendelea kuongozwa na wapigaji.
Povu ruksa.