Mama Salma Kikwete kumsifia Januari Makamba kuhusu bwawa la Nyerere ni unafiki

Mama Salma Kikwete kumsifia Januari Makamba kuhusu bwawa la Nyerere ni unafiki

Hawa wahuni wamejipanga kubebana. Kuna mbunge wa Mtwara mmoja muda wake kuchangia ni kumsifia Januari Makamba tu.

Eti wabunge kufanyiwa maonesho hapo bungeni wakaona kwa technologia kile kinaendelea bwawa la Nyerere ndio Januari anaupiga mwingi sana. Mwenyewe Januari tusisahau alipinga ujenzi wa hilo bwawa eti litaharibu mazingira.

Salma Kikwete nae kasifu Januari Makamba hadi basi tu. Dakika karibu zote ni kusifu tu Januari na Maharage Chande.

Sisi tunasubiri tu hawa wahuni watafuta ukuu tuone wanataka nini. Tunataka kurejesha nchi kwa wazalendo sio kuendelea kuongozwa na wapigaji.

Povu ruksa.
Loh
Yaani nchi irudi tena kwa washamba nyie!! Never, msahau...
 
Huyo mama hamnaga kitu usimchukulie serious, ni mfumo tu unambeba!.
 
Kuna hawa mapoyoyo wanne Ummy Mwalimu, Hussein Bashe, Mwigulu Nchema na January Makamba.

Ni watanzania tu ndio wanaweza ona watu wa maana, ila kwengine ni watu waliopewa wizara sensitive sana halafu wenyewe uwezo wao mdogo sana.
Lete mawaziri wa kwako wewe wenye uwezo kuliko hao. Kazi ya kukosoa na kukashifu uliyoamua kuifanya ni nyepesi sana.
 
kuna watu wanadhan ukiwa Mke wa Rais Mstaafu huna haki ya kuwa na maoni binfasi
Automatically inakuwa hivyo kama atakuwa upande wa wezi yaani washika madaraka ila kama atakuwa upande wa raia na kuwatetea kila mtu atataka kumsikiliza.
 
Hawa wahuni wamejipanga kubebana. Kuna mbunge wa Mtwara mmoja muda wake kuchangia ni kumsifia Januari Makamba tu.

Eti wabunge kufanyiwa maonesho hapo bungeni wakaona kwa technologia kile kinaendelea bwawa la Nyerere ndio Januari anaupiga mwingi sana. Mwenyewe Januari tusisahau alipinga ujenzi wa hilo bwawa eti litaharibu mazingira.

Salma Kikwete nae kasifu Januari Makamba hadi basi tu. Dakika karibu zote ni kusifu tu Januari na Maharage Chande.

Sisi tunasubiri tu hawa wahuni watafuta ukuu tuone wanataka nini. Tunataka kurejesha nchi kwa wazalendo sio kuendelea kuongozwa na wapigaji.

Povu ruksa.
Unafiki wa nini wakati katika nchi hii hili lilianzishwa na mwalimu Nyerere?
Nyie si mnamsifu kuwa kaleta umoja na mshikamano na kama si yeye tungegawanyika?
Makabila mangapi tulipata uhuru yakiwa ni maadui na Nyerere akayapatanisha?
Tangu ukoloni wa waarabu na wazungu watu walikuwa wamoja yaani Muha analima mkonge Tanga wakati kwao ni Kigoma wala hutukusikia vita popote.
Sisi tunamsifia aliyekuwepo hivyo bila January tusingepata hilo bwawa hongera sana mhe. January.
 


Hawa ndio watu wanaowasifia.

Mwakani unamaliza mradi ambao unakidhi mahitaji ya nchi kwenye umeme tena wa bei nafuu.

Halafu mwaka huo huo unaingia kwenye mkataba mwingine wa kununua umeme wa jua kutoka kwa mwekezaji ambae unamuwekea na bank guarantee juu ya kununua huo umeme.

Sasa hiyo surplus unaipeleka wapi na lazima ununue huo umeme vinginevyo sio mwekezaji tu, ata hiyo bank iliyotoa mkopo inaweza kukufungulia kesi ya madai. Yaleyale ya IPTL na standard charter; mgogoro wa madeni unaishia kuiburuza serikali mahakamani ambayo aihusiki na huo mkopo.

Huko sasa ndio kuchezea hela za mapato ya shirika, so unnecessary expenditures; halafu kuna watu wanasifia huo uwekezaji wa kiupuuzi.

Mambo mengine yanawezekana Tanzania.

Wezi tu. Tulikua tunaongelea kuuza umeme nje baada ya bwawa la nyerere. Sasa hawa kuingia mikataba ya aina hiyo ya iptl ni hujuma ya wazi kwa nchi. Jk alituingiza iptl vijana wao makamba na maharage wanatuletea iptl zingine. Msisahau iptl ya singa na yule mzee wa kihaya ilivyosumbua taifa kwa mikesi kwa miaka zaidi ya 30 na kuibia tanesco mabilioni na kusababisha hasara nyingi kwa taifa.
 
rushwa hupofusha mambo.rushwa huangusha mamlaka.
Kama wako madarakani kwa wizi wa kura, ndio wataogopa kula rushwa? Kama hiyo mamlaka ni kuanguka ilitakiwa ianguke kwa kuwa madarakani kwa wizi wa uchaguzi.
 
Hawa wahuni wamejipanga kubebana. Kuna mbunge wa Mtwara mmoja muda wake kuchangia ni kumsifia Januari Makamba tu.

Eti wabunge kufanyiwa maonesho hapo bungeni wakaona kwa technologia kile kinaendelea bwawa la Nyerere ndio Januari anaupiga mwingi sana. Mwenyewe Januari tusisahau alipinga ujenzi wa hilo bwawa eti litaharibu mazingira.

Salma Kikwete nae kasifu Januari Makamba hadi basi tu. Dakika karibu zote ni kusifu tu Januari na Maharage Chande.

Sisi tunasubiri tu hawa wahuni watafuta ukuu tuone wanataka nini. Tunataka kurejesha nchi kwa wazalendo sio kuendelea kuongozwa na wapigaji.

Povu ruksa.
Misemo ipo mingi na inabeba maana moja. Kuimba ni kupokezana na upo mwingine unasema riziki ya mwenzio usiilalie mlango wazi.

Ukiwa mwanafunzi wa madarasa ya awali ya shule ya msingi huwezi kuelewa maana ya misemo hii, ukishakua mtu mzima unapata mifano hai kwa kadri ya uwezo wako wa kufikiria unavyokuwa umeshapanuka.
 
Hawa wahuni wamejipanga kubebana. Kuna mbunge wa Mtwara mmoja muda wake kuchangia ni kumsifia Januari Makamba tu.

Eti wabunge kufanyiwa maonesho hapo bungeni wakaona kwa technologia kile kinaendelea bwawa la Nyerere ndio Januari anaupiga mwingi sana. Mwenyewe Januari tusisahau alipinga ujenzi wa hilo bwawa eti litaharibu mazingira.

Salma Kikwete nae kasifu Januari Makamba hadi basi tu. Dakika karibu zote ni kusifu tu Januari na Maharage Chande.

Sisi tunasubiri tu hawa wahuni watafuta ukuu tuone wanataka nini. Tunataka kurejesha nchi kwa wazalendo sio kuendelea kuongozwa na wapigaji.

Povu ruksa.

Wanaacha kuwashukuru wana JF kwa kusimama kidete kulilinda bwawa la Nyerere kwa nguvu zote. Huyu January alitaka kuhujumu kila kitu kilichoanzishwa na JPM, lakini Mwenyezi Mungu akawa upande wa waTanzania.
 


Hawa ndio watu wanaowasifia.

Mwakani unamaliza mradi ambao unakidhi mahitaji ya nchi kwenye umeme tena wa bei nafuu.

Halafu mwaka huo huo unaingia kwenye mkataba mwingine wa kununua umeme wa jua kutoka kwa mwekezaji ambae unamuwekea na bank guarantee juu ya kununua huo umeme.

Sasa hiyo surplus unaipeleka wapi na lazima ununue huo umeme vinginevyo sio mwekezaji tu, ata hiyo bank iliyotoa mkopo inaweza kukufungulia kesi ya madai. Yaleyale ya IPTL na standard charter; mgogoro wa madeni unaishia kuiburuza serikali mahakamani ambayo aihusiki na huo mkopo.

Huko sasa ndio kuchezea hela za mapato ya shirika, so unnecessary expenditures; halafu kuna watu wanasifia huo uwekezaji wa
kiupuuzi.

Mambo mengine yanawezekana Tanzania.


Hizi ppa ndiyo tunazozikataaga. Zinatumika kama kichaka cha wahalifu. Yale ya iptl, songas, symbion, nk yanaanza kuja kwa kasi. Naona inawauma sana kuona bwawa la Mwalimu Nyerere hawajaweka mirija yao kwa kushirikiana na mabeberu.
 
Wezi tu hawa kina makamba. Wanakimbilia mikataba ya upigaji wakati tunasubiri umeme wa nafuu wa hydro. Maharage nae ameshaanza kuchomekea kwa kusema eti kupunguza bei ya umeme si busara. Anaandaa watu kisaikolojia wakati jpm aliapiza umeme lazima ushuke.

Wahuni ni watu wabaya sana. Ulaya na marekani unit ni kama usd 0.02. tanzania tunalipa zaidi ya usd 0.22. Hapo wawekezaji utawahamasisha vipi kwa umeme wa gharama kiasi hivyo.

Au wananchi watawezaje kutumia umeme kwa maendeleo yao kwa wingi kama umeme wenyewe ghali kuliko kote duniani.

Wao wanafikiri upigaji tu ndio wanakaribisha umeme za kipigaji na kuwapa guarantee ya tanesco kununua kwa bei mbaya wakijua wako na cha juu au wameshafungiwa chao mapema.

Umenena vyema, umeme wa bei nafuu ni rafiki wa:
1. Uwekezaji. Maana gharama za uzalishaji zitapungua.
2. Mazingira, maana watanzania wengi wataachana na nishati ambazo si rafiki kwa mazingira.
Faida ni nyingi, lkn ngoja itoshe kusema hayo tu.
 
Back
Top Bottom