Akili nyingine ya kibashite hii, sijui ni uccm ama ni nini.. Mbona wasifu wa mafirst lady wa nchi zingine wajulikana?Ulitaka kuona wasifu wa mke wa rais ili iweje? Ulishawahi kuona wasifu wa mama maria nyerere ukianikwa hovyo au mama siti mwinyi na ana mkapa? Ulitaka kuona wasifu wa mwandani wa Rais??.. Hebu weka wasifu wa mamaako kwanza tuone makorokocho yake kwanza kabla hujatamani kuona wasifu wa first lady ukianikwa hadharani..haya tuanze na wasifu wa mamaako sasa...
Katika maongezi yake akiwa First Lady alisema alifaulu darasa la saba na kwenda kidato cha kwanza mpaka cha nne na baadae chuo cha ualimu, hivyo ni mwalimu wa darasa III A.
Sijawahi kuona wasifu wa maisha yake ukiekezea shule alizosima ana familia aliyozaliwa hata akiwa First Lady.
Ficha upumbavu wako... utaheshimika.Sally what?? Wasifu wa marehemu? unaelekezwa kusini wewe unalazimisha kwenda kaskazini..haya nenda!!
Thanks hubbyPasomeke daraja...
Naamini una mtoto wa kike...Wakibana mapaja tunatafuta pengine pa kuingilia wanaume hatukaririwi
Naamini una mtoto wa kike...
Ficha upumbavu wako... utaheshimika.
Umekeketwa?Naona unawashwa
This is typically non sense.Naomba tufanye tafakuri tunduizi ( critical thinking ) kabisa juu ya hii Kauli ' Tata 'kabisa ambayo Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu na Nne Mama Salma Kikwete aliisema / aliitoa katika Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike duniani wiki iliyoisha.
Mama Salma Kikwete ( ambaye sasa ni Mheshimiwa Mbunge wa Kuteuliwa pia ) aliwaambia Mabinti Tanzania nzima kuwa ' Wajitahidi kubana Mapaja yao ' dhidi ya wale ambao wanapenda ' Kuyapanua ' kwani hao ' Wapanuaji ' wa hayo ' Mapaja ' yao huwa hawana nia nzuri na njema Kwao.
Katika Headline yangu hapo juu nimeuliza kwamba je Mama Salma Kikwete kabla ya kutamka hiyo ' Kauli ' yake alifikiria mara mbili mbili kwa kuzingatia hasa tabia au mienendo ya Watoto wa Kike wa siku hizi nchini Tanzania au alikurupuka tu kuisema ili kuwachafua hao ' Wapanuaji ' wa hayo ' Mapaja ' ya hao Mabinti / Watoto wa Kike?
Hivi Mama Salma Kikwete anatambua kwamba hao ' Wapanuaji ' hayo ' Mapaja ' huwa wanashawishiwa vibaya sana na Wabanaji Mapaja aliowahusia ili ' Wapanuliwe ' vizuri? Hivi Mama Salma Kikwete anatambua kwamba kwa sasa kuna tofauti kubwa sana kati ya Wao ( Mabinti wa zamani ) na hawa Mabinti wa leo hasa Kimaadili?
Siku zingine nyie akina Mama mnapoalikwa katika ' matamasha ' kama haya ya Wanawake / Watoto wa Kike muwe mnajitahidi kuwa makini na kauli zenu / matamko yenu ili msije mkajikuta mnatudhalilisha / mnatutukana Sisi Wanaume badala yake mjikite sana ' Kuwafunda ' hawa Watoto wenu wa Kike ambao kiukweli Sisi wengine huwa tunajitahidi mno ' Kutowapanua ' hayo ' Mapaja ' yao ila kuna muda Uzalendo unatushinda kutokana kwamba hata nasi ni ' Marijali ' vile vile.
Acheni kutulaumu Sisi Wanaume kila uchao na makosa yanayotokana na Upumbavu / Upopoma wa hao Mabinti / Wanafunzi wenu ambao mnawazaa halafu nyie nyie wakiwa bado na Umri mdogo tu mnaanza kuwavalisha ' Vimini ' huku mkiwasifia na hadi kuwataka wapige ' Selfie ' na waweke katika Simu zao na katika mitandao yao ya Kijamii.
GENTAMYCINE ni kama Bahari ambayo siku zote huwa haikai na uchafu hivyo ni imani yangu kubwa kuwa message sent and delivered.
Mwanamume nawasilisha.
Salma ni hybrid ya mkoa wa Lindi na Mkoa wa Pwani!!!Katika maongezi yake akiwa First Lady alisema alifaulu darasa la saba na kwenda kidato cha kwanza mpaka cha nne na baadae chuo cha ualimu, hivyo ni mwalimu wa daraja III A.
Sijawahi kuona wasifu wa maisha yake ukiekezea shule alizosima ana familia aliyozaliwa hata akiwa First Lady.
Asante mkuuSalma ni hybrid ya mkoa wa Lindi na Mkoa wa Pwani!!!
Kama kumbukumbu zangu zipo sawa, Primary School amesomea Lindi (kijiji kimoja kinaitwa Chikonji), Sekondari Mtwara na Ualimu Lindi (Nachingwea). Na kama nimechanganya, basi msingi na sekondari zote itakuwa amesomea Mtwara!
Mkuu unataka kusema naye huwa alikurupuka!!
Wakibana mapaja tunatafuta pengine pa kuingilia wanaume hatukaririwi
Maajabu haya!!!
Mama anawaambia watoto wadogo wajitahidi kubana mapaja dhidi ya washenzi wanaotaka kufunua mapaja ya watoto wadogo wakati watu wazima wenzao wapo!!!
Wengine hampendi kuona mama akiwaambia watoto wazi wazi kwamba wabane mapaja yao!!! Waafrika unafiki sijui tutauacha lini wa kutaka kufumba fumba mambo yenye madhara kwa jamii!!!!
Btw, ikiwa unakiri kwamba tabia za hawa watoto ni majanga, huoni ndio wakati wa kuwaambia ukweli kwamba waache kutanua tanua mapaja yao?! Hivi kabisa unaweza japo kufikiria kwamba hao wapanuaji mapaja wana nia nzuri kwa hao wanaofunua?
Hivi mtu na akili zako kweli unaweza kusema hao wapanuaji mapaja wanashawishiwa; yaani wanashawishiwa na watoto wadogo!!! Hivi mtu jitu zima kunakuwa na mazingira gani hadi vibinti vidogo viwashawishi kingono?!
Unless kama mleta mada na wewe ni kivulana cha shule lakini kama ni mtu mzima halafu unafikia kusema eti "acheni kutulaumu wanaume!" Hivi kweli mwanaume aliye mwanaume anaweza kushawishiwa na kushawishika na vijisichana vidogo?!
Kuna staili hata mapaja yakibanwa inapita tuuu