Maajabu haya!!!
Mama anawaambia watoto wadogo wajitahidi kubana mapaja dhidi ya washenzi wanaotaka kufunua mapaja ya watoto wadogo wakati watu wazima wenzao wapo!!!
Wengine hampendi kuona mama akiwaambia watoto wazi wazi kwamba wabane mapaja yao!!! Waafrika unafiki sijui tutauacha lini wa kutaka kufumba fumba mambo yenye madhara kwa jamii!!!!
Btw, ikiwa unakiri kwamba tabia za hawa watoto ni majanga, huoni ndio wakati wa kuwaambia ukweli kwamba waache kutanua tanua mapaja yao?! Hivi kabisa unaweza japo kufikiria kwamba hao wapanuaji mapaja wana nia nzuri kwa hao wanaofunua?
Hivi mtu na akili zako kweli unaweza kusema hao wapanuaji mapaja wanashawishiwa; yaani wanashawishiwa na watoto wadogo!!! Hivi mtu jitu zima kunakuwa na mazingira gani hadi vibinti vidogo viwashawishi kingono?!
Unless kama mleta mada na wewe ni kivulana cha shule lakini kama ni mtu mzima halafu unafikia kusema eti "acheni kutulaumu wanaume!" Hivi kweli mwanaume aliye mwanaume anaweza kushawishiwa na kushawishika na vijisichana vidogo?!