Mama Samia awapa motisha Wakenya kuja Tanzania

Mama Samia awapa motisha Wakenya kuja Tanzania

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
“Wawekezaji wanalalamika sana kumekuwa na urasimu mkubwa Tanzania, kodi kwa Wawekezaji hazieleweki, napokea taarifa kutoka kwa Wasaidizi wangu, Wafanyabiashara wanataka kuniona niwahakikishie kama watafanya kazi kwa utulivu ili warudi Tanzania”——-Rais Samia Suluhu baada ya kuwaapisha Viongozi wapya Ikulu Dar es salaam leo

“Wawekezaji wanataka kuja Tanzania lakini kwa mambo yetu wanakimbia, tuvute tena uwekezaji, tupate ajira,fedha izunguke,uchumi ukue, nikiwa Makamu wa Rais kuna Mwekezaji alikuja, sijui alitishwa nini!, nadhani kaambiwa tutakupiga kosa la uhujumi uchumi, akaondoka”———Rais Samia

“Vibali vya kazi vimekuwa janga, wanaosimamia vibali vya kazi wamejigeuza Miungu Watu , wamegeuza mradi, Mtu anawekeza mnalazimisha aweke Mtanzania, kila Mwekezaji ana haki ya kuweka Mtu anayemuamini yeye kwanini umlazimishe?, mtende haki”———Rais Samia

“Tunataka Wawekezaji wa-enjoy Tanzania, Makampuni yanafungwa Ndugu zangu sio uongo, tukiweka vikwazo tunawarudisha nyuma, wakiondoka uchumi wetu unashuka, ajira zinapungua na mzunguko wa pesa unapungua na hiki ndio kilio kikubwa cha Watanzania kuwa mifuko mitupu”———Rais Samia
#MillardAyoIkuluUPDATES
 
Huu ndio Ukweli. Huwezi kumzuia Mtu wa East Africa kuja ku invest/ kufanya kazi Tanzania. Kuna watu kama Gezaulole ni poor minded set na ni watu waliokwisha kata tamaa kimaisha... wanaamini kukaa FB na kuanza kuwatukana Wakenya ndio Maisha yao yataboreka. Huu ni Upuuzi wa kiwango cha juu.
Nchi lazima iwe na Foreigner investors kwa ajili ya Ukuaji wa Uchumi. Ni muda wa kuangalia Opportunities ktk maeneo ya East Africa & Central Africa kwa ajili ya kujiendeleza Kimaisha
 
“Wawekezaji wanalalamika sana kumekuwa na urasimu mkubwa Tanzania, kodi kwa Wawekezaji hazieleweki, napokea taarifa kutoka kwa Wasaidizi wangu, Wafanyabiashara wanataka kuniona niwahakikishie kama watafanya kazi kwa utulivu ili warudi Tanzania”——-Rais Samia Suluhu baada ya kuwaapisha Viongozi wapya Ikulu Dar es salaam leo

“Wawekezaji wanataka kuja Tanzania lakini kwa mambo yetu wanakimbia, tuvute tena uwekezaji, tupate ajira,fedha izunguke,uchumi ukue, nikiwa Makamu wa Rais kuna Mwekezaji alikuja, sijui alitishwa nini!, nadhani kaambiwa tutakupiga kosa la uhujumi uchumi, akaondoka”———Rais Samia

“Vibali vya kazi vimekuwa janga, wanaosimamia vibali vya kazi wamejigeuza Miungu Watu , wamegeuza mradi, Mtu anawekeza mnalazimisha aweke Mtanzania, kila Mwekezaji ana haki ya kuweka Mtu anayemuamini yeye kwanini umlazimishe?, mtende haki”———Rais Samia

“Tunataka Wawekezaji wa-enjoy Tanzania, Makampuni yanafungwa Ndugu zangu sio uongo, tukiweka vikwazo tunawarudisha nyuma, wakiondoka uchumi wetu unashuka, ajira zinapungua na mzunguko wa pesa unapungua na hiki ndio kilio kikubwa cha Watanzania kuwa mifuko mitupu”———Rais Samia
#MillardAyoIkuluUPDATES
Vipi unataka kurudi? Rudi tu lakini kama unakuja kwa ajili ya kuiba madini yetu hutaweza tuko imara zaidi.
 
“Wawekezaji wanalalamika sana kumekuwa na urasimu mkubwa Tanzania, kodi kwa Wawekezaji hazieleweki, napokea taarifa kutoka kwa Wasaidizi wangu, Wafanyabiashara wanataka kuniona niwahakikishie kama watafanya kazi kwa utulivu ili warudi Tanzania”——-Rais Samia Suluhu baada ya kuwaapisha Viongozi wapya Ikulu Dar es salaam leo

“Wawekezaji wanataka kuja Tanzania lakini kwa mambo yetu wanakimbia, tuvute tena uwekezaji, tupate ajira,fedha izunguke,uchumi ukue, nikiwa Makamu wa Rais kuna Mwekezaji alikuja, sijui alitishwa nini!, nadhani kaambiwa tutakupiga kosa la uhujumi uchumi, akaondoka”———Rais Samia

“Vibali vya kazi vimekuwa janga, wanaosimamia vibali vya kazi wamejigeuza Miungu Watu , wamegeuza mradi, Mtu anawekeza mnalazimisha aweke Mtanzania, kila Mwekezaji ana haki ya kuweka Mtu anayemuamini yeye kwanini umlazimishe?, mtende haki”———Rais Samia

“Tunataka Wawekezaji wa-enjoy Tanzania, Makampuni yanafungwa Ndugu zangu sio uongo, tukiweka vikwazo tunawarudisha nyuma, wakiondoka uchumi wetu unashuka, ajira zinapungua na mzunguko wa pesa unapungua na hiki ndio kilio kikubwa cha Watanzania kuwa mifuko mitupu”———Rais Samia
#MillardAyoIkuluUPDATES
Mama aendeleze bakora tu kwa manyang'au. Wakipewa lift wanatakaga kupiga ma honi. Aendeleze bakora tu...
 
Huu ndio Ukweli. Huwezi kumzuia Mtu wa East Africa kuja ku invest/ kufanya kazi Tanzania. Kuna watu kama Gezaulole ni poor minded set na ni watu waliokwisha kata tamaa kimaisha... wanaamini kukaa FB na kuanza kuwatukana Wakenya ndio Maisha yao yataboreka. Huu ni Upuuzi wa kiwango cha juu.
Nchi lazima iwe na Foreigner investors kwa ajili ya Ukuaji wa Uchumi. Ni muda wa kuangalia Opportunities ktk maeneo ya East Africa & Central Africa kwa ajili ya kujiendeleza Kimaisha
Tunataka investors lakini siyo wezi wa madini yetu. Kama wanataka kuja kuwekeza na benefit iwe 50/50 sawa lakini siyo wizi kama walivyokuwa wanafanya hapo awali hiyo hapana.
 
Vipi unataka kurudi? Rudi tu lakini kama unakuja kwa ajili ya kuiba madini yetu hutaweza tuko imara zaidi.
Mimi ni Mtanzania mkuu, Nimewapa tu taarifa potential investors
 
Ukuta wa merelani uvunjwe wawekezaji wawe free kwanini kubanabana?
 
“Wawekezaji wanalalamika sana kumekuwa na urasimu mkubwa Tanzania, kodi kwa Wawekezaji hazieleweki, napokea taarifa kutoka kwa Wasaidizi wangu, Wafanyabiashara wanataka kuniona niwahakikishie kama watafanya kazi kwa utulivu ili warudi Tanzania”——-Rais Samia Suluhu baada ya kuwaapisha Viongozi wapya Ikulu Dar es salaam leo

“Wawekezaji wanataka kuja Tanzania lakini kwa mambo yetu wanakimbia, tuvute tena uwekezaji, tupate ajira,fedha izunguke,uchumi ukue, nikiwa Makamu wa Rais kuna Mwekezaji alikuja, sijui alitishwa nini!, nadhani kaambiwa tutakupiga kosa la uhujumi uchumi, akaondoka”———Rais Samia

“Vibali vya kazi vimekuwa janga, wanaosimamia vibali vya kazi wamejigeuza Miungu Watu , wamegeuza mradi, Mtu anawekeza mnalazimisha aweke Mtanzania, kila Mwekezaji ana haki ya kuweka Mtu anayemuamini yeye kwanini umlazimishe?, mtende haki”———Rais Samia

“Tunataka Wawekezaji wa-enjoy Tanzania, Makampuni yanafungwa Ndugu zangu sio uongo, tukiweka vikwazo tunawarudisha nyuma, wakiondoka uchumi wetu unashuka, ajira zinapungua na mzunguko wa pesa unapungua na hiki ndio kilio kikubwa cha Watanzania kuwa mifuko mitupu”———Rais Samia
#MillardAyoIkuluUPDATES
Hahahaha, eti Kenya, mnaipenda sana Tanzania, sisi wala hatuwafikirii, hutosikia kiongozi wala media za Tanzania zikiitaje Kenya

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
santa sana mama. enzi za mikwara, vitisho, chuki, ubabe na ujuha zimepitwa na wakati.
tuko pamoja
 
Back
Top Bottom