Mama Samia awapa motisha Wakenya kuja Tanzania

hapa nahisi mama aliwalenga Dangote na Sylvia Mulinge
 
hapa nahisi mama aliwalenga Dangote na Sylvia Mulinge

Tunajua Sylivia a.k.a mama lishe anakuja kuhemea, lkn Dangote naye anakuja kuomba kazi???

Mbona unapenda kuwahusisha kina Dangote na vitu vya kijinga kama akina mama lishe???
 
Tunajua Sylivia a.k.a mama lishe anakuja kuhemea, lkn Dangote naye anakuja kuomba kazi???

Mbona unapenda kuwahusisha kina Dangote na vitu vya kijinga kama akina mama lishe???
huyu ni Dangote alipotaka kufungua kiwanda cha simiti mukamfanyia figisu figisu hadi akainua mikono juu na kuhepa >>>

na huyu ni Sylvia Mulinge, mulimzingua sana wakati anatafuta vibali vya kuja Tanzania kufanya kazi. nyinyi ni masikini tena masikini jeuri. >>>

mkuu, nchi sasa iko fresh. mandhari na hali ya hewa iko safi sana. tumuunge mama mkono kwa maana nina imani atatufikisha mbali.
lile jinamizi halipo now. be happy, rejoice and sing hallelujah.
 
Mimi ni Mtanzania mkuu, Nimewapa tu taarifa potential investors

Kamanda hii kitu inayohusu "kenya" una uhakika amelizungumza?


All in All mama yuko vizuri, kinachopaswa masharti yazingatiwe...

Yale mabaki baki ya TRA mama samia fyekelea mbali hao 😡
 
Mama anajaribu sana kurekebisha ila sidhani kama ile "sukuma gang" ambayo nasoma kuihusu kwenye mitandao itaruhusu na watampa tabu sana.
 
Madini yetu kwanza siyo ya Kenya. Ugomvi wetu ni juu ya Tanzania kuzuia utoroshaji wa Madini kwenda Kenya na kuzuia matunda kwenda huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…