Mama Samia kaupiga mwingi?

Mama Samia kaupiga mwingi?

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
WanaJf,
Salaam!
Nauliza wafuatiliaji na wachambuzi wabobezi wa masuala ya utawala, uchumi na siasa JE ni kweli MAMA SAMIA kaupiga mwingi?

(a). Tumpime kwa bei ya mafuta ya kula (cooking oil)?

(b). Tumpime kwa mafuta ya petrol, taa, na vilainishi?

(c). Tumpime kwa mfumuko wa bidhaa za vyakula na vya viwandani?

(d). Tumpime kwa kupanda au kushuka kwa bei za nauli na usafirishaji?

Najua hapa kwa kadri mtakavyotoa maoni ndivyo Serikali utakavyoweza kujisahihisha iwapo kuna sehemu yenye dosari. Lugha ya staha ni muhimu sana.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Utaitwa Sukuma gang
 
WanaJf,
Salaam!
Nauliza wafuatiliaji na wachambuzi wabobezi wa masuala ya utawala, uchumi na siasa JE ni kweli MAMA SAMIA kaupiga mwingi?

(a). Tumpime kwa bei ya mafuta ya kula (cooking oil)?

(b). Tumpime kwa mafuta ya petrol, taa, na vilainishi?

(c). Tumpime kwa mfumuko wa bidhaa za vyakula na vya viwandani?

(d). Tumpime kwa kupanda au kushuka kwa bei za nauli na usafirishaji?

Najua hapa kwa kadri mtakavyotoa maoni ndivyo Serikali utakavyoweza kujisahihisha iwapo kuna sehemu yenye dosari. Lugha ya staha ni muhimu sana.
Rais hawezi pimwa Kwa vitu vidogo vidogo hivyo vya kupita..

Mimi nitampima kwa mambo makubwa kadhaa,kama yafuatayo

1.Kukuza uchumi ufike 7% aliyoiachaga JK,Ili akija Rais mwingine tufike 10% ,na components kubwa hapa na uwekezaji wa viwanda na Biashara.

2.Kukusanya mapato na kuyatumia,hapa nitaangalia bajeti vs actual collections.

3.Utekelezaji wa miradi ya kimkakati ya Kiuchumi na Kijamii..Hapa nitaangalia zaidi mabaraba,huduma za jamii na miradi mikubwa mikubwa.

4.Mageuzi ya Sekta ya Kilimo,mifugo na Uvuvi..

Hapa nataka nione tunawezaje kuacha kutegemea kilimo Cha kudra za Mungu,kuacha kuzurula na mifugo na kuanza kufuga na mwisho kuongeza mchango wa sekta hizo kwenye Pato la Taifa hususani mifugo na Uvuvi.

5.Mageuzi kwenye sekta za Utawala.. Kuleta Katiba mpya Ili kuleta ufanisi kwenye uendeshaji wa serikali nk.
 
Back
Top Bottom