Uchaguzi 2020 Mama Samia: Nakubaliana na Makongoro Nyerere, CHADEMA ni jiko la mkaa huwezi kulikumbatia ama litakuunguza au litakuchafua na masizi!

Uchaguzi 2020 Mama Samia: Nakubaliana na Makongoro Nyerere, CHADEMA ni jiko la mkaa huwezi kulikumbatia ama litakuunguza au litakuchafua na masizi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mgombea mwenza wa CCM mama Samia Suluhu amesema anakubaliana na kauli ya Makongoro kwamba Chadema ni kama jiko la mkaa halikumbatiki.

Jiko la mkaa ukilikumbatia ama litakuunguza au kama halina moto litakuchafua kwa masizi.
Mama Samia alikuwa akizindua kampeni jijini DSM katika viwanja vya mwembe Yanga.

Chanzo: Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
 
Jiko la mkaa kazi yake ni kupika vitu ili viive na sio kukumbatiwa. CHADEMA, ni jiko la kuivisha agenda za haki, uhuru na maendeleo ya watu.

Sasa unalikumbatia jiko ili iweje? Hakuna jiko linafaa kukumbatiwa, iwe la gesi, umeme, mkaa nk.
Mantiki ya kauli ya Makongoro na Samia ni nini?

CCM wamezoea kukumbatiana kwenye mambo yao ya kishenzi, hivyo wanadhani kila mtu ana akili hizo hizo za kishenzi.
 
Mgombea mwenza wa CCM mama Samia Suluhu amesema anakubaliana na kauli ya Makongoro kwamba Chadema ni kama jiko la mkaa halikumbatiki.

Jiko la mkaa ukilikumbatia ama litakuunguza au kama halina moto litakuchafua kwa masizi.
Mama Samia alikuwa akizindua kampeni jijini Dsm katika viwanja vya mwembe Yanga.

Source Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
Tumpeleke tumpeleke, ccm ilishajifia kitambo
tapatalk_1593965156914.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiko la mkaa kazi yake ni kupika vitu ili viive na sio kukumbatiwa. CHADEMA, ni jiko la kuivisha agenda za haki, uhuru na maendeleo ya watu...
Mkude hongera kwa kupata jiko! Yaani, mkude hongera kwa kuoa! Kumbuka ni lugha ya kiswahili hii, ina fasihi, tafsida, nahau, methali, misamiati na kadhalika. Hivyo, maelezo yatolewayo kwa kutumia lugha hii yatatengemea ujuzi, ufundi, ubobezi wa mtu kwenye lugha hii kuyaelewa!

Kwa kifupi, jiko ukumbatiwa.
 
Mkude hongera kwa kupata jiko! Yaani, mkude hongera kwa kuoa! Kumbuka ni lugha ya kiswahili hii, ina fasihi, tafsida, nahau, methali, misamiati na kadhalika. Hivyo, maelezo yatolewayo kwa kutumia lugha hii yatatengemea ujuzi, ufundi, ubobezi wa mtu kwenye lugha hii kuyaelewa!

Kwa kifupi, jiko ukumbatiwa.
Huyo mama kaamua kutukana wana cdm, naona kaamua kuikataa heshima aliyo kuwa anapewa na wana cdm.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom