Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Ni kichaa tu ndiyo atahusisha jiko na maswala ya kukumbatiana.Jiko la mkaa linapika chakula,lakini unaweza kulikumbatia?
Humjui mama Samia vizuri wewe, awamu ya nne alikua kinara wa kutoa mipasho kwa upinzani bungeni. Na hii ndiyo ilikua kete yake ya kuteuliwa kuwa mgombea mwenza wa Magufuli.
Dah..... .mkuu umemuelewa? Au umevaa miwani? Usiwe na mkono mrefu faza [emoji2960]Ni kichaa tu ndiyo atawaza swala la kukumbatia jiko la mkaa.
Jiko la mkaa linaheshimiwa mnoo na familia na kazi yake ni kupika chakula na sio kukumbatiwa
Mama Samia kapatwa na nn? Hakuwa mtu wa vijembe uchwara kama hivi. Nini kimempata huyu mama?
Nimemuelewa kuwa amepanic hadi anatoa mifano isiyo na uhalisia.Dah..... .mkuu umemuelewa? Au umevaa miwani? Usiwe na mkono mrefu faza [emoji2960]
Tolea maelezo maana mimi naona ni picha tu kama picha zingine[emoji848]View attachment 1560234
Mgombea mwenza wa CCM mama Samia Suluhu amesema anakubaliana na kauli ya Makongoro kwamba Chadema ni kama jiko la mkaa halikumbatiki.
Jiko la mkaa ukilikumbatia ama litakuunguza au kama halina moto litakuchafua kwa masizi.
Mama Samia alikuwa akizindua kampeni jijini DSM katika viwanja vya mwembe Yanga.
Source Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Amechanganyikiwa na uroda wa Daudi Albert Bashite
[/QUOkwani anasimamisha huyo mbona nilisikia anategemea sana madole
Nafikiri baada ya kuanza usagaji in kigogoz voice....ila mdomo wake umempotezea heshima itakayodumu mda mrefu kuliko muda wa kuomba kuraMama Samia kapatwa na nIini Hakuwa mtu wa vijembe uchwara kama hivi. Nini kimempata huyu mama?
Kweli kabisa bunge la katiba alikuwa anamnyoosha kidole juu anamjibu Ismail Jussa kama muimba taarabu , anasema mimi sijaufyata , wewe Jusa ndio umeufyata wenye hiyo clip waiweke hapa muone ni mtu wa namna gani , halafu ile sumu aliyowekewa mwaka jana naona bado iko mwilini , mamaaaa huyoooHumjui mama Samia vizuri wewe, awamu ya nne alikua kinara wa kutoa mipasho kwa upinzani bungeni. Na hii ndiyo ilikua kete yake ya kuteuliwa kuwa mgombea mwenza wa Magufuli.
Umechanganya madesa bwashee..... Yule aliitwa Asha Bakari amesha rip!Kweli kabisa bunge la katiba alikuwa anamnyoosha kidole juu anamjibu Ismail Jussa kama muimba taarabu , anasema mimi sijaufyata , wewe Jusa ndio umeufyata wenye hiyo clip waiweke hapa muone ni mtu wa namna gani , halafu ile sumu aliyowekewa mwaka jana naona bado iko mwilini , mamaaaa huyoooView attachment 1560382
Sijuwi nani anakumbatiaga majiko!Mgombea mwenza wa CCM mama Samia Suluhu amesema anakubaliana na kauli ya Makongoro kwamba Chadema ni kama jiko la mkaa halikumbatiki.
Jiko la mkaa ukilikumbatia ama litakuunguza au kama halina moto litakuchafua kwa masizi.
Mama Samia alikuwa akizindua kampeni jijini DSM katika viwanja vya mwembe Yanga.
Source Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Wakati mwingine inabidi kumwelewa, hana point ya kuongea, Hawakuwa na Plan B.Amakweli siasa ni kitu mbaya sana, hadi huyu mama amebadilika hivi...[emoji848][emoji848]
Walahi sikutegemea kabisa aiseeee...
Kubadili uongo kuwa ukweli hakusaidii kitu sawa , week clip ile .Umechanganya madesa bwashee..... Yule aliitwa Asha Bakari amesha rip!
Ndo aliyokuwa anatafuta, watu wakikuheshimu jiheshimu. Anadhani anaishi Dunia ya peke yake ambamo hata anavyojibadilisha mavazi kwenda kugongwa na Bashite hataonekana?Bwashee jiheshimu Tafadhali!