900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
mwisho wao ni mwaka huu mwakani watakuwa chama cha upinzaniHakika CCM imejipanga kisayansi na inatumia rasilimali vyema.
Leo Mama Samia amemkabidhi Ilani Mbunge mtarajiwa wa jimbo la Kongwa Ndugu Job Y Ndugai.
View attachment 1582558View attachment 1582560
Mi pia sijaelewa imebidi nizoom mara kadhaaπsuruali ya kitambaa na raba iiiiiiihhhhh
Nadhani kwa ukosefu wa hoja kwa upande aliopo huyu jamaa nadhani wanahitaji sana watu wa fani yake ili kupata hata wabunge 5 awamu hii. Hakuna mtanzania makini anawahitajiComrade wewe ungeendelea tu issues zako za ulozi na ushirikina huku kwenye siasa unatepeta sana.
Kama ni huyo natoa wito kwa Wana Kongwa wasimchague wachague mtetezi wa kweli was Uhuru,haki na maendeleo.Wale wote waliotuabgusha kwa kufurahia dhulma zidi ya haki .HapanaHakika CCM imejipanga kisayansi na inatumia rasilimali vyema.
Leo Mama Samia amemkabidhi Ilani Mbunge mtarajiwa wa jimbo la Kongwa Ndugu Job Y Ndugai.
View attachment 1582558View attachment 1582560
Mwaka huu hata wakiloga hawatoboi.Nadhani kwa ukosefu wa hoja kwa upande aliopo huyu jamaa nadhani wanahitaji sana watu wa fani yake ili kupata hata wabunge 5 awamu hii. Hakuna mtanzania makini anawahitaji
CCM baba lao. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki CCM.Hakika CCM imejipanga kisayansi na inatumia rasilimali vyema.
Leo Mama Samia amemkabidhi Ilani Mbunge mtarajiwa wa jimbo la Kongwa Ndugu Job Y Ndugai.
View attachment 1582558View attachment 1582560
Kwani Dj Mbowe na genge lake, unafikiri wanaweza shawishi nani?. Tumewashtukia, Oct 28 dawa itakuwa tayari. Chadema saccos, Moja ya chama hovyo kabisa.Hivi nchi hii Ndugai anaweza kumshawishi nani, labda familia yake?
Hicho kipipa kimeanza kunogewa, zamani jiwe alikuwa anakitukana ka mtotoHakika CCM imejipanga kisayansi na inatumia rasilimali vyema.
Leo Mama Samia amemkabidhi Ilani Mbunge mtarajiwa wa jimbo la Kongwa Ndugu Job Y Ndugai.
View attachment 1582558View attachment 1582560
Kama vile alikuwa anatafuta laana.Huyu bi mkubwa kwa kauli yake ile ya "wangekuwa askari wetu wasinge kosa shabaha" amepoteza mvuto kabisa.
Mkuu una uhakika na elimu ya Jiwe? Kuna mtu alipotea kwa sababu ya kutaka kuujua ukweliMshana Jr Miaka hii mmekutana na Rais Mwanasayansi
Mungu kawasikia na kawaletea Jiwe kuja kuiua ccmCCM baba lao. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki CCM.
Kwa sababu ndio tabia zao za kunyanyasa wengine wakijifichia kuwa na dola lakini siku wakishindwa tu sijui watakimbilia wapi πππAliwachana live
Duh! Ilikuwa utani tuupo?