Mama Samia tutakuacha mapema sana

Mama Samia tutakuacha mapema sana

Janjawid

Member
Joined
Jul 15, 2020
Posts
93
Reaction score
185
Chonde chonde Mama Samiaa Suluu Hassan,kama hitaji la watanzania kuwa na katiba mpya hutaliona kwa sasa muda si mrefu tutaacha kukuunga mkono,hata ndani ya chama
 
muda si mrefu tutaacha kukuunga mkono,hata ndani ya chama


Sema hivi:- Muda si mrefu NITA acha kukuunga mkono na siyo TUTA acha.

Huyu ni Mama wa Faraja na Suluhu pia ni nesi anayetibu majeraha yetu tuliyopata baada ya kipigo kizito cha miaka mitano ya Mwendazake.

Those 5yrs of brutality and agony shall never be forgotten and will be written in history books for posterity.
 
Chonde chonde Mama Samiaa Suluu Hassan,kama hitaji la watanzania kuwa na katiba mpya hutaliona kwa sasa muda si mrefu tutaacha kukuunga mkono,hata ndani ya chama
Si uache kuanzia leo

Nyambafu
 
Hivi hili la kuzuia shughuli za kisiasa, kisheria haliwezi kudaiwa Mahakamani?
Naona limekaa kama hisani ya mtu itakavyompendeza
Kushitaki ni jambo moja ila hukumu ya haki ni jambo lingine..!

Mahakama zetu chini ya ccm zinachukua hukumu ikulu.
 
Back
Top Bottom