Mama Samia, vumilia, Urais siyo lelemama

Mama Samia, vumilia, Urais siyo lelemama

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Ukiwa Rais inabidi uwe na ngozi ngumu.

1. Utakosolewa, Utasakamwa, Utatukanwa. Hapa inabidi uwe mvumilivu kwelikweli

1) Magufuli alitukanwa sana mitandaoni.

2) JK alitukanwa sana mitandaoni ikiwemo kutengenezewa picha za fedheha (wenye kumbukumbu nzuri mtakumbuka zile picha za Ze Utamu)

3) Mzee Mwinyi vijana wa chuo kikuu walimchora vikaragosi vya kudhalilisha kwelikweli ( Enzi za Mzee Punch)

3) Hata wewe mama Samia utatukanwa sana.

4) Kwa hiyo vumilia, stay focused.
5) Hicho cheo ulichonacho ni kikubwa mno, ukikunjua makucha yako utaumiza wengi. Nakushauri usifanye maamuzi kwa hisia, ukitaka kufanya maamuzi, Jiridhishe uambiwayo, usikiayo kwa ushahidi usio na chembe ya shaka ili usije ukaumiza wenye haki.

6) Kila nafasi ya utumishi ina mitihani yake, na kila nafasi iwapo kubwa basi na mtihani wake ni mkubwa. Nafasi yako ya Urais ni kubwa, na fahamu kuwa mtihani wa Urais ni mkubwa pia. Kwa hiyo kuwa makini mno.
 
Mama ni mtu wa pwani hivyo haiba ya kukasilika Kwa maneno itakuwa hana hilo ,ni vile awe makini na wachonganishi walio ndani ya chama/serikali yake kama Yule RC wa Arusha . Hii ni nyakati ya kila mtu kuwa huru kujieleza pasina kutweza utu wa mwingine au jamii Kwa ujumla hivyo inapaswa ayapuuzie ingawa Kwa wanawake wengi wao ni ngumu mno kikubwa kitambeba ni umri wake kuhimili maneno na mizaha dhidi yake. Ukweli wa yaliyosemwa ya kumtweza utu wake anayajua na nafsi yake kikubwa akumbuke kukaa kimya ni silaha kubwa mno Kwa mjinga.
Uraisi ni jukumu kubwa mno hivyo akaze buti haswa.
 
Ukiwa Rais inabidi uwe na ngozi ngumu.

1. Utakosolewa, Utasakamwa, Utatukanwa. Hapa inabidi uwe mvumilivu kwelikweli

1) Magufuli alitukanwa sana mitandaoni.

2) JK alitukanwa sana mitandaoni ikiwemo kutengenezewa picha za fedheha (wenye kumbukumbu nzuri mtakumbuka zile picha za Ze Utamu)

3) Mzee Mwinyi vijana wa chuo kikuu walimchora vikaragosi vya kudhalilisha kwelikweli ( Enzi za Mzee Punch)

3) Hata wewe mama Samia utatukanwa sana.

4) Kwa hiyo vumilia, stay focused.
5) Hicho cheo ulichonacho ni kikubwa mno, ukikunjua makucha yako utaumiza wengi. Nakushauri usifanye maamuzi kwa hisia, ukitaka kufanya maamuzi, Jiridhishe uambiwayo, usikiayo kwa ushahidi usio na chembe ya shaka ili usije ukaumiza wenye haki.

6) Kila nafasi ya utumishi ina mitihani yake, na kila nafasi iwapo kubwa basi na mtihani wake ni mkubwa. Nafasi yako ya Urais ni kubwa, na fahamu kuwa mtihani wa Urais ni mkubwa pia. Kwa hiyo kuwa makini mno.
Avumilie hata Mwigulu alivyomuita Zoba kweli?
 
Avumilie tu japo mie anavotukanywa naumia mno.Nampenda huyu mama sana.Japo ananisikitisha anavyomkumbatia Bashite kama alivyofanya mwendazake.
 
Ukiwa Rais inabidi uwe na ngozi ngumu.

1. Utakosolewa, Utasakamwa, Utatukanwa. Hapa inabidi uwe mvumilivu kwelikweli

1) Magufuli alitukanwa sana mitandaoni.

2) JK alitukanwa sana mitandaoni ikiwemo kutengenezewa picha za fedheha (wenye kumbukumbu nzuri mtakumbuka zile picha za Ze Utamu)

3) Mzee Mwinyi vijana wa chuo kikuu walimchora vikaragosi vya kudhalilisha kwelikweli ( Enzi za Mzee Punch)

3) Hata wewe mama Samia utatukanwa sana.

4) Kwa hiyo vumilia, stay focused.
5) Hicho cheo ulichonacho ni kikubwa mno, ukikunjua makucha yako utaumiza wengi. Nakushauri usifanye maamuzi kwa hisia, ukitaka kufanya maamuzi, Jiridhishe uambiwayo, usikiayo kwa ushahidi usio na chembe ya shaka ili usije ukaumiza wenye haki.

6) Kila nafasi ya utumishi ina mitihani yake, na kila nafasi iwapo kubwa basi na mtihani wake ni mkubwa. Nafasi yako ya Urais ni kubwa, na fahamu kuwa mtihani wa Urais ni mkubwa pia. Kwa hiyo kuwa makini mno.
Umeme Naa ukweli
 
Ukiwa Rais inabidi uwe na ngozi ngumu.

1. Utakosolewa, Utasakamwa, Utatukanwa. Hapa inabidi uwe mvumilivu kwelikweli

1) Magufuli alitukanwa sana mitandaoni.

2) JK alitukanwa sana mitandaoni ikiwemo kutengenezewa picha za fedheha (wenye kumbukumbu nzuri mtakumbuka zile picha za Ze Utamu)

3) Mzee Mwinyi vijana wa chuo kikuu walimchora vikaragosi vya kudhalilisha kwelikweli ( Enzi za Mzee Punch)

3) Hata wewe mama Samia utatukanwa sana.

4) Kwa hiyo vumilia, stay focused.
5) Hicho cheo ulichonacho ni kikubwa mno, ukikunjua makucha yako utaumiza wengi. Nakushauri usifanye maamuzi kwa hisia, ukitaka kufanya maamuzi, Jiridhishe uambiwayo, usikiayo kwa ushahidi usio na chembe ya shaka ili usije ukaumiza wenye haki.

6) Kila nafasi ya utumishi ina mitihani yake, na kila nafasi iwapo kubwa basi na mtihani wake ni mkubwa. Nafasi yako ya Urais ni kubwa, na fahamu kuwa mtihani wa Urais ni mkubwa pia. Kwa hiyo kuwa makini mno.
Acha ukiroboto wewe!
 
Uwasilishaji wa maoni dhidi ya Taasisi husika ndio mbaya na unajengwa kwenye matusi na kejeli

Ila ukichunguza vema, ndani ya uwasishaji huo wa maoni, kuna ya ukweli mengi

Mfano, mtu atataka kuongelea suala la umeme na kukatikakatika, au huduma fulani

Badala aelezee tatizo hilo, anawasilisha kwa njia ya matusi na kufokafoka

Tatizo linaanzia hapo
 
Ukiwa Rais inabidi uwe na ngozi ngumu.

1. Utakosolewa, Utasakamwa, Utatukanwa. Hapa inabidi uwe mvumilivu kwelikweli

1) Magufuli alitukanwa sana mitandaoni.

2) JK alitukanwa sana mitandaoni ikiwemo kutengenezewa picha za fedheha (wenye kumbukumbu nzuri mtakumbuka zile picha za Ze Utamu)

3) Mzee Mwinyi vijana wa chuo kikuu walimchora vikaragosi vya kudhalilisha kwelikweli ( Enzi za Mzee Punch)

3) Hata wewe mama Samia utatukanwa sana.

4) Kwa hiyo vumilia, stay focused.
5) Hicho cheo ulichonacho ni kikubwa mno, ukikunjua makucha yako utaumiza wengi. Nakushauri usifanye maamuzi kwa hisia, ukitaka kufanya maamuzi, Jiridhishe uambiwayo, usikiayo kwa ushahidi usio na chembe ya shaka ili usije ukaumiza wenye haki.

6) Kila nafasi ya utumishi ina mitihani yake, na kila nafasi iwapo kubwa basi na mtihani wake ni mkubwa. Nafasi yako ya Urais ni kubwa, na fahamu kuwa mtihani wa Urais ni mkubwa pia. Kwa hiyo kuwa makini mno.
Hivi kweli inaingia akilini kwa msaidizi wa karibu wa rais akathubutu kumdharau ama kumtukana!? Siasa ni mchezo mchafu hivyo Rais anapaswa kuwa makini sana na wazushi wa mambo.

Ni vyema kama kuna ushahidi katika hili ukawekwa hadhrani ili muhusika ama wahusika wote wachukuliwe hatua haraka za kinidhamu. Kama hakuna ushahidi basi watoa tuhuma nao wahojiwe na mamlaka husika.

Taasisi ya urais na cheo cha urais ni nyeti mno kikatiba, kwa hiyo inapaswa kupewa heshima yake inayostahili na haipaswi kabisa kufanyiwa mizaha yoyote ile hadharani. Kama kuikosoa basi iwe kwa "constructive criticism" lakini si kwa matusi na lugha isiyokuwa na staha!

Kama kweli yupo aliyethubutu kumwita Rais wetu kuwa ni zoba, ushahidi utolewe na awajibishwe mara moja. That is the act of insubordination par excellence.
 
Back
Top Bottom