Mama Samia waangalie hawa MCT( Medical Council of Tanganyika)

Mama Samia waangalie hawa MCT( Medical Council of Tanganyika)

Marco Polo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
11,786
Reaction score
18,562
Sisi wengine tunaishi na kusomea huku Zanzibar, ili kwenye hizi ajira za afya wameweka kigezo cha leseni ya Tanganyika hivyo ukiwa na leseni ya Zanzibar system inakukataa, cha ajabu mfumo wao wa kuomba leseni ya Tanganyika Online wameufunga hivyo kuwanyima wale wasiokuwa na leseni wasiweze kufanya usajili wa maombi ya leseni

Hizi ni hujuma za wazi kabisa, Waziri Ummy na Mama Samia tunaomba msaada.
 
Sisi wengine tunaishi na kusomea huku Zanzibar, ili kwenye hizi ajira za afya wameweka kigezo cha leseni ya Tanganyika hivyo ukiwa na leseni ya Zanzibar system inakukataa, cha ajabu mfumo wao wa kuomba leseni ya Tanganyika Online wameufunga hivyo kuwanyima wale wasiokuwa na leseni wasiweze kufanya usajili wa maombi ya leseni

Hizi ni hujuma za wazi kabisa, Waziri Ummy na Mama Samia tunaomba msaada.
Kwani Tanganyika inahusisha pia Zanzibar?
 
Ila waambieni MCT kuanzia Registrar hadi ICT Manager wawe wanapokea Simu. Yule Registrar wa MCT ana nyodo sana, ajifunze kwa Luena, alikuwa very humble.
 
Hizo ajira ni kwa watanzania na si watanganyika, issue ya MCT ni practicing license tu maana unaenda kufanya kazi bara, hoja yangu hapa kwann wafunge mfumo wa kuomba hizo leseni?
Kama ni Mzanzibar huna haki kwa kuwa siyo Mtanganyika mkuu.
o
 
Sisi wengine tunaishi na kusomea huku Zanzibar, ili kwenye hizi ajira za afya wameweka kigezo cha leseni ya Tanganyika hivyo ukiwa na leseni ya Zanzibar system inakukataa, cha ajabu mfumo wao wa kuomba leseni ya Tanganyika Online wameufunga hivyo kuwanyima wale wasiokuwa na leseni wasiweze kufanya usajili wa maombi ya leseni

Hizi ni hujuma za wazi kabisa, Waziri Ummy na Mama Samia tunaomba msaada.
Koma kabisa
Afya si swala la muungano
 
Sisi wengine tunaishi na kusomea huku Zanzibar, ili kwenye hizi ajira za afya wameweka kigezo cha leseni ya Tanganyika hivyo ukiwa na leseni ya Zanzibar system inakukataa, cha ajabu mfumo wao wa kuomba leseni ya Tanganyika Online wameufunga hivyo kuwanyima wale wasiokuwa na leseni wasiweze kufanya usajili wa maombi ya leseni

Hizi ni hujuma za wazi kabisa, Waziri Ummy na Mama Samia tunaomba msaada.
Medical Council of Tanganyika. Hebu soma tena.
 
Sisi wengine tunaishi na kusomea huku Zanzibar, ili kwenye hizi ajira za afya wameweka kigezo cha leseni ya Tanganyika hivyo ukiwa na leseni ya Zanzibar system inakukataa, cha ajabu mfumo wao wa kuomba leseni ya Tanganyika Online wameufunga hivyo kuwanyima wale wasiokuwa na leseni wasiweze kufanya usajili wa maombi ya leseni

Hizi ni hujuma za wazi kabisa, Waziri Ummy na Mama Samia tunaomba msaada.
Dah.... TANGANYIKA ,[emoji2960]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hutu tujamaa punguani kabisa..vinataka kila kitu vina roho mbaya..si muanzishe Medical council ya Zanzibar kwani kuna mtu kawakataza..zaidi mtanganyika akija huko mnamtenga kama sio mtanzania.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom