Mama Samia yule mteule wako wa NIMR ilimshinda Hospitali ya Mloganzila

Mama Samia yule mteule wako wa NIMR ilimshinda Hospitali ya Mloganzila

tutafikatu

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2011
Posts
3,327
Reaction score
4,624
Mtafiti yupo kule NIMR Center. Anakesha kuandika tafiti mbalimbali ili apate ufadhili, pasipo msaada wowote toka NIMR HQ. Kwa jasho na damu anapata ufadhili na kupeleka pesa kituoni kwake ambazo zinasaidia hata kuendesha kituo. Halafu from nowhere anakuja mteule mmoja wa Rais anataka hizo pesa zipelekwe makao makuu, na kukatwa asilimia 15. Anataka ku control kila kitu, katika ulimwengu huu wa decentralization. Pesa yako kuipata toka NIMR HQ unapaswa uifanyie kazi ya ziada, utadhani unaomba ufadhili wa pili huko NIMR HQ.

Sasa itabidi wale ndugu zetu wa vituoni wasiandike andiko hata moja, tuwaachie nyie wa makao makuu tuone kama mtaletewa pesa huko mliko. Si mnaona wanafaidi sana.

Prof. Aboud ukifika sehemu, tumia muda kujifunza kwanza. Usikurupuke kama vile watangaulizi wako hawakufanya kazi yoyote. Hizo pesa za vituoni ambazo wenzenu wanahaingaika usiku na mchana kuzitafuta, hutoziona.

NIMR ni zaidi ya Mloganzila, usije iua NIMR kama yule mwenzako wa Ifakara.
 
Mtafiti yupo kule NIMR Center. Anakesha kuandika tafiti mbalimbali ili apate ufadhili, pasipo msaada wowote toka NIMR HQ. Kwa jasho na damu anapata ufadhili na kupeleka pesa kituoni kwake ambazo zinasaidia hata kuendesha kituo. Halafu from nowhere anakuja mteule mmoja wa Rais anataka hizo pesa zipelekwe makao makuu, na kukatwa asilimia 15. Anataka ku control kila kitu, katika ulimwengu huu wa decentralization. Pesa yako kuipata toka NIMR HQ unapaswa uifanyie kazi ya ziada, utadhani unaomba ufadhili wa pili huko NIMR HQ.

Sasa itabidi wale ndugu zetu wa vituoni wasiandike andiko hata moja, tuwaachie nyie wa makao makuu tuone kama mtaletewa pesa huko mliko. Si mnaona wanafaidi sana.

Prof. Aboud ukifika sehemu, tumia muda kujifunza kwanza. Usikurupuke kama vile watangaulizi wako hawakufanya kazi yoyote. Hizo pesa za vituoni ambazo wenzenu wanahaingaika usiku na mchana kuzitafuta, hutoziona.

NIMR ni zaidi ya Mloganzila, usije iua NIMR kama yule mwenzako wa Ifakara.
Uko idara gani NIMR? Huyu pROF WA NJAA sasa hiyo 15% imekuwa badgeted for that kasma? Si wana overhead costs zao? Mpuuzi, kama ni rahisi basi na yeye aandike! Pelekeni iradi sehemu za vyuo vikuu kama SUA, UDSM hata Kairuki, tena private Universities can do better maana umewapelekea hela za kufanya research, publication, ajira , training kwa vijana wao. achana na Uzanzbari

Lakini wa kumalumu ni Kitua, chairman ambaye anaruhusu upuuzi huu! Amekuwa DG muda mrefu , he knows how NIMR works, bado anaruhusu mavi kama hayo
 
Back
Top Bottom