Mama Shikana mrudie Mungu,wije na Bukoba ogambe na abazee!

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Siwezi muita mama Lulu mama lulu kwani mimi nilimjua kwa jina la shikana wakati huo mama yake akiishi na mtoto huyo mbagala Rangi tatu.

Nakumbuka tulivyoishi nae mama akiwa mtu wa tungi ile mbaya,nilikuja kumuona huyu mama hamnazo alipoamia tabata,aliwasahau ndugu na jamaa alioishi nao,hasa wale alio kuwa akiwaachia shikana na yeye kwenda kwenye mabata na vibanda enzi hizo!

Ushauri wangu mama shikana kaongee na wazee ili wampe afya mwanao na wewe raana ikutoke na imtoke mwanao huko gerezani
 
Acha uchuro awapigie magoti kwani wao ni kina nani...Lulu akiongezwa miaka ikafika tisa ingependeza zaidi!
 
'raana' imemtafuna?
 
Kumbe hata jf mateja wa unga wapo.aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…