Kwa kweli inaumiza sana pale Serekali inaponyonya wananchi wake hadi wanafilisika kupitia Kodi lukuki! Wakati Serekali inanenepa, Mwananchi mlipa Kodi anazidi kukonda!!Inaumiza Sana,
Uyo dada Anawakilisha vilio vya wengi
Amesema mauzo yake ni 20,000 Kwa sikuShida watu wanamchukulia poa yule mama ila ana hela sio kitotoView attachment 2628862
Na kumkondeshaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sinyaa Mchaga Original, Hatumii Mkorogo Ila TRA wanampa Stress
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan anaongea na waziri mkuu km na mjumbe wa mtaa wake, jasiri huyu mama.Kassim Majaliwa alijichekea sana
Ila ndio wafanyibiashara wetu hao, na ndio mabossi na matajiri zetu
Da inamaana alifungia maafisa ndani ya stoo ...Sinyaa mpambanaji sana TRA kariakoo walimfanya kama kibubu chao bila jeuri yake angerudi kijijini aisee maana pana kipindi karibu wiki nzima walikua wanashinda kwenye store yake hata kinachotafutwa hakieleweki wakila mpunga wanatulia wakitaka hela wanamtafuta tena...ila huyo ni kiboko pana siku aliwahi wafungia maofisa na kufuri kubwa store akaondoka zake sijui ile kesi iliishaje msala juu ya msala...ilibidi kufuri livunjwe na baadhi ya wazee wa kazi waliopata taarifa ila bila ubishi huyo dada naamini angerudi kijijini kitambo mno yupo saba saba jengo la Sauli huyo dada namkubali sana ni Jembe la mkono kweli hana woga hata Chembe..
Vimaskin bhana,walikuibia nini wewe kapuku?mchagga yoyote yule awe mchungaji awe shekhe niwezi sana wadanganyifu sana waongo sana wachonganishi sana
mwenyewe nimeshanga sana yani hicho kitanda Kinapaswa kuwa cha mbao ya mloliondoNilikuwa sijui kama mtu anaweza kuwa na kilo 210
Kwani kuna formula maalum ya kuongea na Waziri Mkuu tofauti na Mjumbe wa mtaa!!?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan anaongea na waziri mkuu km na mjumbe wa mtaa wake, jasiri huyu mama.
nimeelewa sanaAliyeelewa uzi anisimulie PM
Ni wezi walikua wanatumia uafisa kuibia watu walikutana na chuma cha Pua kila wakimuangalia wanaona hii ngoma kiboko hiyo taarifa iliisha kimya kimya maana ilikua aibu kwao na hawakukatiza tena ule mtaa baada ya kufunguliwa wahuni wakashangilia mpaka wanaelekea Mtaa wa Msimbazi nilicheka sana...huku Sinyaa akitaka kufungua kesi ya kubomolewa Store yake na kupoteza mali ile Kariakoo ilikua na watu Mamafya sana...Da inamaana alifungia maafisa ndani ya stoo ...
Na hapo analalamika amekondaSinyali mtoto wa tembo[emoji208]
Kwani kuna formula maalum ya kuongea na Waziri Mkuu tofauti na Mjumbe wa mtaa!!?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app