Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chawa anapiga promoLengo la hii thread hasa???
Endelea kubeti tu, kwa wale wanaofuatilia habari walimuona kwenye mgomo wa Kariakoo akiongea.Ndio yupi Sasa?
utadhani umewahi kutoka nje ya Tanzania vileTz na umaarufu uchwara!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akati yeye ndo muuzaji, useme anachanganya aina nyingi.Kama anajiamini mbona anatumia mkorogo uliodunda
Ndio ninakoishiutadhani umewahi kutoka nje ya Tanzania vile
Alieleta hizi makeup auliwe.Mimi ni Mjasiriamali wa vipodozi na niko Kariakoo kwa muda wa miaka 20 na zaidi, kero tunazokutana nazo hapa Kariakoo ni nyingi sana na zinavunja moyo, kero ya kwanza hatufanyi biashara kwasababu ya (TRA), Wateja sasa hivi wananunua mizigo nje ya Kariakoo wanaogopa TRA, kwa mana hiyo sisi tunashinda tu vibarazani maana hakuna biashara wala wateja"
"Watu wa TRA na watu wa Taka wanatuumiza sana, mimi mpaka nilishapiganaga na vitoto vya TRA ndiyo maana nilivyosikia Waziri Mkuu anakuja nikasema leo lazima niende nikatoe nyongo iliyonikaa kwa muda mrefu, nilivyoenda pale mkutanoni bahati nzuri Waziri Mkuu akaniita nikaenda kutoa baadhi ya kero zangu, nasema baadhi kwasababu bado sijamaliza nina mengi ya kumwambia Waziri Mkuu, bado naitafuta namba yake"
"Tumefirisika hatuna kitu, mimi nilikuwa na pesa yani hapa sina kitu, ili kujisukuma inatubidi tujiingize kwenye mikopo ya "kausha damu" ambayo kwa mimi binafsi mkopo wa "kausha damu" umevunja ndoa yangu, nimeachana na mume wangu kwasababu ya "kausha damu", "kausha damu" imeniharibu sura, sikuwa hivi, mimi ni natural sijajichubua hata kidogo hii ni ngozi ya Kichaga Og, ila kulia kila saa na mikopo ya kausha ndiyo imeniunguza sura"
"Hapa nimepungua sana watu wanaonijua wanashangaa sana, nina kg 198 ila nilikuwa na kg 210, natamani sana kupungua, natamani niwekewe puto hata sasa hivi, Peter Msechu siyo wa kuwekewa puto, mimi ndio natakiwa niwekewe hilo puto.
"Hakuna biashara Kariakoo, TRA wameua biashara yaani tumekaa tu lakini biashara hakuna, wateja wanaokuja wananunua kopo la mafunzo elfu 10, kwa siku unatoka na elfu 20 ya mauzo, hapo unalipa kodi, TRA na Taka, kuna biashara hapo?, zamani nilikuwa nauza milioni moja, moja na nusu mpaka milioni mbili kwa siku, nyumbani kwetu mimi ndio kama Bhakresa, ndugu wote wananitazama mimi lakini awamu hii nimeshindwa hata kuwapeleka watoto shule".
Aidha Bi Sinya amesema anavutiwa sana na Mbosso, kila anaposikiliza wimbo wa Mbosso moyo wake unakwatuka anajisikia raha burudani, hadi kufikia sasa hivi mama huyo anaendelea kujizoea maelfu ya followers huko Instagram, ambapo jana alikuwa na followers elfu mbili pekee na hadi kufikia leo sasa hivi ana followers elfu 15 na zaidi.
Credit: FB
View attachment 2628823