Mama Sinyali Boss la Kariakoo

We unaangalia mkorogo, hayo ni mafuta tu, nakupenda urembo, kujiamini, upambanaji wa kutafuta pesa, na kuongea vile mbele ya waziri, mbele ya umati si wote wanaujasiri ule, na kutokuogopa tra kusema mabaya yao, na ndio mana kafatwa na waandishi wengi na wamempongeza ujasiri ule.
 
Alieleta hizi makeup auliwe.
 
Sinyali kama Sinyali, basi apewe maua yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…