Mama Sinyali Boss la Kariakoo

Mbona alipokuwa anaingiza milioni 1 mpaka 2 kwa siku alikuwa halalamiki?TRA si walikuwepo?Hakuweka akiba?Ni ujinga kutojiandaa wakati ukiwa na kipato kizuri na kuja kulalama na kutafuta wa kulaumiwa mambo yakibadilika.Asiangalie alipoangukia aangalie alipojikwaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…