Mama Sinyali Boss la Kariakoo

Sinyaa mpambanaji sana TRA kariakoo walimfanya kama kibubu chao bila jeuri yake angerudi kijijini aisee maana pana kipindi karibu wiki nzima walikua wanashinda kwenye store yake hata kinachotafutwa hakieleweki wakila mpunga wanatulia wakitaka hela wanamtafuta tena...ila huyo ni kiboko pana siku aliwahi wafungia maofisa na kufuri kubwa store akaondoka zake sijui ile kesi iliishaje msala juu ya msala...ilibidi kufuri livunjwe na baadhi ya wazee wa kazi waliopata taarifa ila bila ubishi huyo dada naamini angerudi kijijini kitambo mno yupo saba saba jengo la Sauli huyo dada namkubali sana ni Jembe la mkono kweli hana woga hata Chembe..
 
Hata Duka lake aliuza nakumbuka kipindi kile alikuwa anaingiza vipodozi kutoka Congo na Uganda Ila magufuli alivyoanza kupiga Pini mipakani watu wengi walianguka kibiashara akiwemo huyu mama..
Namjua huyu mama kitambo mitaa ya jangwani/mafia ni MTU maarufu kipindi kile anatembelea magari ya kishua
 
Sawa,Tra walikuwa wanasheria tofauti na sasa?Kama walilala waanze taratibu.
 
Ni dada ila anaonekana mtu mzima sana kwa sababu ya mwili wake ila mtu poa sana sana alikua jirani yangu kwenye duka lake la la hiyo mitaa ni mzungu wa roho sana sana na wala sio mzurumati kawasaidia Wachaga kibao ndio maana nae hawezi kupata tabu na wala haesabu akimsaidia mtu akichukua mzigo akisema wiki ijayo ni wiki ijayo kweli sema TRA wamemrud8sha nyuma sana maana hawataki watu wawe matajiri kupitia Kariakoo anatuma mizigo Zimbabwe mpama DRC na watu wengi anafanya nao kazi kama kiwanda wengine watu wazima ila wakimwona heshima za kutosha mimi nilimkubali kwenye life yake ya Uzungu wa roho....
 

Hii itakuwa ni Palestine
 
Najuta kutooa mchagaa!
... Ni wapambanaji aisee!
πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…