Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ivi mtu mzima na akili zake akiamua kutoa rushwa huwa anakwenda yeye mwenyewe? (ili wamkamate kirahisi)aache uhuni huyu mama kwa tunaomjua huwa anatoa rushwa siku zoote!
of course amebambikiwa.. hivi hamjiuliza pamoja na kelele zote za watu kukutwa wakitaka kutoa rushwa hakuna hata mmoja ambaye amefikishwa mahakamani? Na wote watashiriki Uchaguzi J'pili. Lengo ni kutengeneza majalada ambayo yatatumiwa na Kamati Kuu kuwaengua baadhi ya wagombea ambao wanaweza kushinda kabisa uchaguzi.
of course amebambikiwa.. hivi hamjiuliza pamoja na kelele zote za watu kukutwa wakitaka kutoa rushwa hakuna hata mmoja ambaye amefikishwa mahakamani? Na wote watashiriki Uchaguzi J'pili. Lengo ni kutengeneza majalada ambayo yatatumiwa na Kamati Kuu kuwaengua baadhi ya wagombea ambao wanaweza kushinda kabisa uchaguzi.
Katibu mkuu wa CCM, Yusuf Makamba alishakaririwa na gazeti hili akisema kuwa mgombea ambaye atabainika kujihusisha na vitendo vya rushwa, ataondolewa kwenye kinyang'anyiro cha ubunge hata kama atashinda kwenye kura za maoni.
Ingekuwa busara angemwambia mtoa taarifa ampeleke mtoto hospitali na wao wakutanie huko.....sasa yeye kwenda gesti saa 7 usiku na milioni moja?.....
of course amebambikiwa.. hivi hamjiuliza pamoja na kelele zote za watu kukutwa wakitaka kutoa rushwa hakuna hata mmoja ambaye amefikishwa mahakamani? Na wote watashiriki Uchaguzi J'pili. Lengo ni kutengeneza majalada ambayo yatatumiwa na Kamati Kuu kuwaengua baadhi ya wagombea ambao wanaweza kushinda kabisa uchaguzi.
Kwa nini ofisa wa TAKUKURU wa K'njaro kahamishwa na kushushwa cheo baada ya kumkamata DC wa Kasulu, Betty Machangu? TAKUKURU wanatumika ovyo, aibu!
aliyekamatwa ni Mr. Sitta au Mrs. Sitta? Kwanini mtoa mada asiandike jina kamili katika jina la topic?:fear:Margaret Simwanza Sitta
and now i would like to know why mama sitta?