Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila nafsi itaonja uchungu wa wahuni.Huku kigoma nako umeme unakatika! Wakati hawapo kwenye grid ya taifa!Maajabu makubwa!
Hata wakiamua kuzina kabisa mpaka wakati wa uchaguzi mkuu 2025 hatuna cha kuwafanya,na wakiamua watapita bila kupingwa majimbo yote na ushindi mnono wa 99.99% wa uraisYaani mgao wa umeme hata wakiufanya Mwaka mzima unadhani tutawafanya Nini mkuu?
Tume Ni Yao,usalama Ni wao.Wanatufanyia hisani tu mzee maana hatuna Cha kufanya zaidi ya kulia Lia tu mzee.
Kama si kuwaza utakuwa ndotoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]UWENDA wmeagiza mitambo mipya ya KUFUA UMEME(digital)na itafungwa haraka mara Itakapowadia,,na tatizo la kukatika umeme LITAKUA historia,,NAWAZA TU
Wewe ni mtaalamu wa umeme kiasi unaamini Hilo haliwezekani!!?..una taarifa za umeme ambazo Waziri Hana!!?...unadhani serikali imependa na imerdhia umeme usiwepo ili ilaumiwe!!!?Waziri mwenye dhamana ya Umeme alitoka kwenye hadhara akasema "Umeme unazima kwa sababu tunanya Maintenance ya Mitambo, awamu ya 5 watu walikuwa hawafanyi Maintenance kwa kuogopa kufukuzawa kazi" Dah January hivi unatuonaje ss watanzania?
Hiyo picha nimeielewa sana
Huu ukweli unaumiza sana.Yaani mgao wa umeme hata wakiufanya Mwaka mzima unadhani tutawafanya Nini mkuu?
Tume Ni Yao,usalama Ni wao.Wanatufanyia hisani tu mzee maana hatuna Cha kufanya zaidi ya kulia Lia tu mzee.
Nchi nzima umeme unawaka. Kwako tu una matatizo hujalipia LUKU unakuja kulalamika huku.Ukiacha hali ikawa hivi jua kwenye picha unaonekana wewe na sio wao!. Mtangulizi wako hakuwa malaika kusema labda kuna nguvu ya ziada aliitumia kufanya mambo yaende sawa!,alikalia kiti ulichokalia.
Heri ya sikukuu ya Christmas na mwaka mpya kwako na kwa serikali yako.
Mshangae huyo jamaa. Ashukuru Hata Jua linawaka. Ipo siku Watawana na CCM wakiamua watalizimaYaani mgao wa umeme hata wakiufanya Mwaka mzima unadhani tutawafanya Nini mkuu?
Tume Ni Yao,usalama Ni wao.Wanatufanyia hisani tu mzee maana hatuna Cha kufanya zaidi ya kulia Lia tu mzee.
😅😅😅😅unasema litamchafua,kwani ni msafi?
Kama si kuwaza utakuwa ndotoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ishu ni jee anajali?Ukiacha hali ikawa hivi jua kwenye picha unaonekana wewe na sio wao!. Mtangulizi wako hakuwa malaika kusema labda kuna nguvu ya ziada aliitumia kufanya mambo yaende sawa!,alikalia kiti ulichokalia.
Heri ya sikukuu ya Christmas na mwaka mpya kwako na kwa serikali yako.
Waza ukijua kuwa January anautaka Uraus 2025, na anajua Mama nae keshaonja utamu wa kiti..... ndipo hapo unafiki wa siasa hutaradari!!UWENDA wmeagiza mitambo mipya ya KUFUA UMEME(digital)na itafungwa haraka mara Itakapowadia,,na tatizo la kukatika umeme LITAKUA historia,,NAWAZA TU