Mama kwa heshima,
Tulitee waziri wa fedha ambae ni mbunge wakuteuliwa mchumi halali.
Hawa wanakupaka kwa kadi KIJANI NA NYEKUNDU wakati walikuwa kwenye mfumo wa awamo zote.
SISI WANANCHI TUNAJUA WEWE UNATEMBEA NA KADI "WHITE"
Sasa wanataka kukupaka kwa kadi zao.VINYONGA HAO.
KATI YA WABUNGE NINAWAKUBALI KUPITIA CCM NI BASHE TU
HUYU NAMUOMBEA AWE WAZIRI KAMILI TENA WIZARA YA UTALII
Hana majigambo,
Hana makundi,
Anajua kujibu hoja,
Ni msikivu,
Hana siasa zakikada.
Siasa zake nizakujenga nchi
Sio wa makamerakamera,