Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli unachosema , mengine tunamwachia MunguKuna mambo hayasameheki hata mkianza upya ni lazima tuambiwe alipo Ben Saanane mtu anapoteaje kirahisirahisi hivyo?
HapanaImagine Ben ni baba yako mzazi ungekaa kimya?
Yaani unataka mama ajishughulikie??Walio haribu uchaguzi wa 2020 wanaachwa hvhv? Tuanzie hapa kwanza.
Rwanda ilikuwaje?Sasa hapo ni kuanza upya ?
Na Kanguye wa Kigoma, aliyekuwa mwenyekiti wa Halmashauri, tena kupitia CCM. Kosa ni ile kutamka kuwa Serikali ilikuwa haitendi haki.Bora hata lisu aweza samehe waliompiga risasi maana mungu amemuokoa ila sio familia ya Ben Saanane na Azory Gwanda.
Bila hata kuwa baba, ni binadamu huyu tena mzalendo wa nchi yake.Imagine Ben ni baba yako mzazi ungekaa kimya?
Kifupi kuanza upya haiwezekani! Roma mkatoriki kidole kdogo cha mkononi hakijkunji mpaka leo( ulemavu wa kudumu) mke na watoto wa Ben Saanane wataomba mabaki wakazike. Just to mention a few.Nani waliompiga lisu risasi?
Azory Gwanda na Ben Saanane wako wapi? Walio haribu uchaguzi wa 2020 wanaachwa hvhv? Tuanzie hapa kwanza.