[emoji15] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Huyu mama anamuonea wivu mwanae.
Mkuu umenivunja mbavu aiseeWeka picha ya Mama Uyowa, kama analipa na yeye atafutiwe Ben 10 kesi iishe.
Ukibadili dini, ndoa uliyofunga kwa dini ingine inakufa palepaleAmesema kuwa anazungumza Kwa minajili Ya kisheria? Anawakilisha tamaduni zetu za kiafrika ,ndio maana mzazi anapomkataa mchumba ni tatizo harusi inakua ngumu kufanyika unless Ulazimishe Kwa nguvu, pia uwoya ameingia mkataba Mpya huku ule alioingia mwanzo na ndikumana haujavunjwa , uwoya amefunga ndoa Kabla ndikumana hajafa, sijui sheria inasemaje hapo
Rejea Sheria ya Ndoa ya mwaka 1984 imewaelezea ushiriki wa wazazi wa wanandoa kwa hiyo si kweli kwamba mzazi hapaswi kushirikishwaSi kweli kuwa mzazi lazima ashirikishwe kwenye ndoa. Sheria haisemi hivyo, labda kwa mtoto. Kumshirikisha mzazi, mlezi, ndugu au jamaa kwenye ndoa ni utaratibu wa binafsi tu. Ndoa ni suala na mtu binafsi.
sourse==>>sourceSourse......
Usipotoshe watu.... Ndoa lazima iwe na shahidi na kuwe na mtu wa kutoa IDHINI,,, lazima mwanamke awepo BABA,, KAKA,,, MJOMBA, au mlezi wake,, akukabidhi mke.,, ndoa bila IDHINI kutoka kwa walezi wa mke sio ndoa,,, mama uwoya yupo sahihiSi kweli kuwa mzazi lazima ashirikishwe kwenye ndoa. Sheria haisemi hivyo, labda kwa mtoto. Kumshirikisha mzazi, mlezi, ndugu au jamaa kwenye ndoa ni utaratibu wa binafsi tu. Ndoa ni suala na mtu binafsi.
Good argument.Si kweli kuwa mzazi lazima ashirikishwe kwenye ndoa. Sheria haisemi hivyo, labda kwa mtoto. Kumshirikisha mzazi, mlezi, ndugu au jamaa kwenye ndoa ni utaratibu wa binafsi tu. Ndoa ni suala na mtu binafsi.
Itakuwa hiyo hiyo tigo, wa unadhani nini kimempagawisha mpaka kumuoa bi mkubwa!!''Ananipaga mpaka mambo ya uani'' Hayo ndiyo anayoyaimba dogo janja. Sasa sijui anapewa tigo...
Achana na huyu bush lawyer hana lolote.Amesema kuwa anazungumza Kwa minajili Ya kisheria? Anawakilisha tamaduni zetu za kiafrika ,ndio maana mzazi anapomkataa mchumba ni tatizo harusi inakua ngumu kufanyika unless Ulazimishe Kwa nguvu, pia uwoya ameingia mkataba Mpya huku ule alioingia mwanzo na ndikumana haujavunjwa , uwoya amefunga ndoa Kabla ndikumana hajafa, sijui sheria inasemaje hapo
Huyo ndio mwanasheria wa Chadema aliyemsaidia Mwalimu kujaza fomu ya ubunge!Usipotoshe watu.... Ndoa lazima iwe na shahidi na kuwe na mtu wa kutoa IDHINI,,, lazima mwanamke awepo BABA,, KAKA,,, MJOMBA, au mlezi wake,, akukabidhi mke.,, ndoa bila IDHINI kutoka kwa walezi wa mke sio ndoa,,, mama uwoya yupo sahihi
Kwamba dudu halijawahi kuiacha familia salama[emoji38][emoji38][emoji38]Huyu mama anamuonea wivu mwanae.
siyo lazima mzazi aridhie ndoa yangu.Amesema kuwa anazungumza Kwa minajili Ya kisheria? Anawakilisha tamaduni zetu za kiafrika ,ndio maana mzazi anapomkataa mchumba ni tatizo harusi inakua ngumu kufanyika unless Ulazimishe Kwa nguvu, pia uwoya ameingia mkataba Mpya huku ule alioingia mwanzo na ndikumana haujavunjwa , uwoya amefunga ndoa Kabla ndikumana hajafa, sijui sheria inasemaje hapo
ndoa ya kanisani haivunjiki ni mpaka kifoWell, hoja Ya kwanza ni kuhusu tamaduni zetu na sio sheria , Baraka za wazazi zinahitajika
Hoja Ya pili ni kisheria, unaweza kufunga ndoa nyingine huku ile ya kwanza haijavunjwa?
Moreen, mkataba wa ndoa huisha mara tu baada ya kifo cha mmoja wa wanandoa.Amesema kuwa anazungumza Kwa minajili Ya kisheria? Anawakilisha tamaduni zetu za kiafrika ,ndio maana mzazi anapomkataa mchumba ni tatizo harusi inakua ngumu kufanyika unless Ulazimishe Kwa nguvu, pia uwoya ameingia mkataba Mpya huku ule alioingia mwanzo na ndikumana haujavunjwa , uwoya amefunga ndoa Kabla ndikumana hajafa, sijui sheria inasemaje hapo
Kwhyo utajikabidhi mwenyewe kwa mume,, au unakabidhiwa kwa Mume... Mwanamke lazima awepo wa kutoa IDHINI... Ila MWANAUME unaweza kuoa bila kuwepo wa kukupa IDHINI...siyo lazima mzazi aridhie ndoa yangu.
hiy ndoa ya kwanza haikufungwa tanzania kwa hiyo haikubaliki....ndoa ni maamuzi binafsi sio lazima kuwashirikisha wazaziWell, hoja Ya kwanza ni kuhusu tamaduni zetu na sio sheria , Baraka za wazazi zinahitajika
Hoja Ya pili ni kisheria, unaweza kufunga ndoa nyingine huku ile ya kwanza haijavunjwa?