Mama vijana hatukudai .

Mama vijana hatukudai .

Hii ni moja ya mada za hovyo sana kuwahi kuandikwa hapa JF.
 
Mama vijana hatukudai kabisa 2025 USHINDI ni uhakika

We endelea Kutoa ajira
Kama ni kula na kulala vyote vinapatikana bure kwa shemeji, sasa utajuaje jinsi gani mamilioni ya vijana wanavyopigika huko kitaa.
 
Mwambie atoe ajira laki tatu. Nitashiriki kumuombea kura.
 
Back
Top Bottom