Utafikiri anaweza kuitafuta hiyo elfu hamsini. Ameshindwa kuitafuta yake ndio maana amekuwa ombombaGuys nilifanya hivi....
Nilitituma 50,000 kwa mama.
Then nikatuma 50,000 kwa Girlfriend.
Majibu yalikuwa hivi
MAMA: Asante sana baba ubarikiwe sana
GF: Hii hela hata haitoshi maana nina mambo mengi.
VIJANA KAMA SIO MKE WAKO ACHA KUJIFANYA UNAHUDUMIA, HAVINA SHUKRANI HIVI VIUMBE.
NB: Kwa GF nimetuma bila kuombwa, kwa mama aliomba vocha lakini kiuhalisia siwezi kumtumia vocha kweli.
NotedVIJANA KAMA SIO MKE WAKO ACHA KUJIFANYA UNAHUDUMIA, HAVINA SHUKRANI HIVI VIUMBE
mkuu unatuma elf 50 kwa demuGuys nilifanya hivi:
Nilituma 50,000 kwa mama. Then nikatuma 50,000 kwa Girlfriend.
Majibu yalikuwa hivi
MAMA: Asante sana baba ubarikiwe sana
GF: Hii hela hata haitoshi maana nina mambo mengi.
VIJANA KAMA SIO MKE WAKO ACHA KUJIFANYA UNAHUDUMIA, HAVINA SHUKRANI HIVI VIUMBE.
NB: Kwa GF nimetuma bila kuombwa, kwa mama aliomba vocha lakini kiuhalisia siwezi kumtumia vocha kweli.
Ulivyoona majibu ya huyo GF wako yako hivyo. Ungepigia hudumu kwa wateja kusitisha huo muamala haraka sana.Guys nilifanya hivi:
Nilituma 50,000 kwa mama. Then nikatuma 50,000 kwa Girlfriend.
Majibu yalikuwa hivi
MAMA: Asante sana baba ubarikiwe sana
GF: Hii hela hata haitoshi maana nina mambo mengi.
VIJANA KAMA SIO MKE WAKO ACHA KUJIFANYA UNAHUDUMIA, HAVINA SHUKRANI HIVI VIUMBE.
NB: Kwa GF nimetuma bila kuombwa, kwa mama aliomba vocha lakini kiuhalisia siwezi kumtumia vocha kweli.
AiseeGuys nilifanya hivi:
Nilituma 50,000 kwa mama. Then nikatuma 50,000 kwa Girlfriend.
Majibu yalikuwa hivi
MAMA: Asante sana baba ubarikiwe sana
GF: Hii hela hata haitoshi maana nina mambo mengi.
VIJANA KAMA SIO MKE WAKO ACHA KUJIFANYA UNAHUDUMIA, HAVINA SHUKRANI HIVI VIUMBE.
NB: Kwa GF nimetuma bila kuombwa, kwa mama aliomba vocha lakini kiuhalisia siwezi kumtumia vocha kweli.
Ahsante kwa taarifa kutoka kwa mleta mada...
Hapo mwisho ungesema copy and paste!Guys nilifanya hivi:
Nilituma 50,000 kwa mama. Then nikatuma 50,000 kwa Girlfriend.
Majibu yalikuwa hivi
MAMA: Asante sana baba ubarikiwe sana
GF: Hii hela hata haitoshi maana nina mambo mengi.
VIJANA KAMA SIO MKE WAKO ACHA KUJIFANYA UNAHUDUMIA, HAVINA SHUKRANI HIVI VIUMBE.
NB: Kwa GF nimetuma bila kuombwa, kwa mama aliomba vocha lakini kiuhalisia siwezi kumtumia vocha kweli.