Mama VS mpenzi wangu

Mama VS mpenzi wangu

Candela

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2021
Posts
817
Reaction score
2,180
Guys nilifanya hivi:

Nilituma 50,000 kwa mama. Then nikatuma 50,000 kwa Girlfriend.

Majibu yalikuwa hivi

MAMA: Asante sana baba ubarikiwe sana

GF: Hii hela hata haitoshi maana nina mambo mengi.

VIJANA KAMA SIO MKE WAKO ACHA KUJIFANYA UNAHUDUMIA, HAVINA SHUKRANI HIVI VIUMBE.

NB: Kwa GF nimetuma bila kuombwa, kwa mama aliomba vocha lakini kiuhalisia siwezi kumtumia vocha kweli.
 
Guys nilifanya hivi....

Nilitituma 50,000 kwa mama.
Then nikatuma 50,000 kwa Girlfriend.

Majibu yalikuwa hivi
MAMA: Asante sana baba ubarikiwe sana

GF: Hii hela hata haitoshi maana nina mambo mengi.

VIJANA KAMA SIO MKE WAKO ACHA KUJIFANYA UNAHUDUMIA, HAVINA SHUKRANI HIVI VIUMBE.

NB: Kwa GF nimetuma bila kuombwa, kwa mama aliomba vocha lakini kiuhalisia siwezi kumtumia vocha kweli.
Utafikiri anaweza kuitafuta hiyo elfu hamsini. Ameshindwa kuitafuta yake ndio maana amekuwa ombomba
 
Unatuangusha mkuu hapo ilibidi turudishe muamala then atafute mwenyewe inayomtosha
 
Utaambiwa hivo ni kidume legelege , kidume anaejielewa hata kuombwa pesa na mpenz wake tu, mpenzi anajipanga kwanza.
Sio anaomba hovyo kama anaingia choo cha umma.

Na hayo majibu ya mpenzi wako yanatokana na jinsi wewe unavyoishi nae..
 
Guys nilifanya hivi:

Nilituma 50,000 kwa mama. Then nikatuma 50,000 kwa Girlfriend.

Majibu yalikuwa hivi

MAMA: Asante sana baba ubarikiwe sana

GF: Hii hela hata haitoshi maana nina mambo mengi.

VIJANA KAMA SIO MKE WAKO ACHA KUJIFANYA UNAHUDUMIA, HAVINA SHUKRANI HIVI VIUMBE.

NB: Kwa GF nimetuma bila kuombwa, kwa mama aliomba vocha lakini kiuhalisia siwezi kumtumia vocha kweli.
mkuu unatuma elf 50 kwa demu
usirudie tena
 
nitumie mimi,, hakika nitakushukuru na kukuulza,, jamani Dadie mbona nyingi ivo 😌😌
 
Guys nilifanya hivi:

Nilituma 50,000 kwa mama. Then nikatuma 50,000 kwa Girlfriend.

Majibu yalikuwa hivi

MAMA: Asante sana baba ubarikiwe sana

GF: Hii hela hata haitoshi maana nina mambo mengi.

VIJANA KAMA SIO MKE WAKO ACHA KUJIFANYA UNAHUDUMIA, HAVINA SHUKRANI HIVI VIUMBE.

NB: Kwa GF nimetuma bila kuombwa, kwa mama aliomba vocha lakini kiuhalisia siwezi kumtumia vocha kweli.
Ulivyoona majibu ya huyo GF wako yako hivyo. Ungepigia hudumu kwa wateja kusitisha huo muamala haraka sana.
 
Guys nilifanya hivi:

Nilituma 50,000 kwa mama. Then nikatuma 50,000 kwa Girlfriend.

Majibu yalikuwa hivi

MAMA: Asante sana baba ubarikiwe sana

GF: Hii hela hata haitoshi maana nina mambo mengi.

VIJANA KAMA SIO MKE WAKO ACHA KUJIFANYA UNAHUDUMIA, HAVINA SHUKRANI HIVI VIUMBE.

NB: Kwa GF nimetuma bila kuombwa, kwa mama aliomba vocha lakini kiuhalisia siwezi kumtumia vocha kweli.
Aisee
 
Ulivyoona majibu ya huyo GF wako yako hivyo. Ungepigia hudumu kwa wateja kusitisha huo muamala haraka sana.
Mkuu ,ningesitisha angestuka amebugi. Hapa ni mwendo wa sina hela mpala akimbie mwenyewe.
 
Huyo kima aliyesema haitoshi ungemwambia airudishe tu
 
Guys nilifanya hivi:

Nilituma 50,000 kwa mama. Then nikatuma 50,000 kwa Girlfriend.

Majibu yalikuwa hivi

MAMA: Asante sana baba ubarikiwe sana

GF: Hii hela hata haitoshi maana nina mambo mengi.

VIJANA KAMA SIO MKE WAKO ACHA KUJIFANYA UNAHUDUMIA, HAVINA SHUKRANI HIVI VIUMBE.

NB: Kwa GF nimetuma bila kuombwa, kwa mama aliomba vocha lakini kiuhalisia siwezi kumtumia vocha kweli.
Hapo mwisho ungesema copy and paste!
 
Hujaombwa alaf anasema haotoshi? Mbona sikuelewi?
Kama hujaelewa nakupa hii, niliwahi mtumia mtu 20k bila kuniomba, alipoiona akapiga simu kuuliza mbona sijaweka ya kutolea. Imagine watu walivyo wahana akili.
 
Back
Top Bottom