Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Fuata taratibu za kwenda kwa watu, sio unajiendea endea tu.Simu mm sijanunua kanunua mtoto wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fuata taratibu za kwenda kwa watu, sio unajiendea endea tu.Simu mm sijanunua kanunua mtoto wao
Fala wewNa wewe nishauri Mimi ni kijana wa miaka 28 na mpenzi wangu anamiaka 54 mapenzi yetu yalikua ya siri mume wake kafa mwezi uliopita nimeanza kwenda kulala nyumbani kwake lakini kijana wake mwenye miaka 32 hataki kuniheshimu mimi kama Baba yake wa kambo nifanye nini ili anishemu?
Na hapo below umeandika je? 🫣🫣🫣na tayari mimi nishaigharamia.
Juzi tarehe 11, binti alinipa kama shilingi laki 3 hivi na kuniambia nione simu nzuri nipeleke nyumbani kwa mama yake
Na wewe nishauri Mimi ni kijana wa miaka 28 na mpenzi wangu anamiaka 54 mapenzi yetu yalikua ya siri mume wake kafa mwezi uliopita nimeanza kwenda kulala nyumbani kwake lakini kijana wake mwenye miaka 32 hataki kuniheshimu mimi kama Baba yake wa kambo nifanye nini ili aniheshimu?
Sijui namna ya kuanzisha uziFungua uzi wako wakushauri vizuriii