Mama wa binti hanitaki kabisa. Wadau, nifanye nini katika hali hii?

Kachukje simu falasi usiye na mbio veve
 
Sasa Simu uligharamiaje? wakati pesa kakutumia binti na ukachukua 50 ya zawadi
 
Sasa Kama mama ya binti kasema hakutaki na wewe bado unakaza fuvu tu

Kwanini usitafute mwanamke mwingine uachane na huyu ambaye hutakiwi kwao
 
Shughulika na namba mbili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…