I AM NO ONE
JF-Expert Member
- Aug 7, 2020
- 389
- 576
Habari, nina stori moja leo ambayo inaniumiza kichwa kabisa kuhusu mama wa mchumba wangu simuelewi hata kidgo ana nia gani na mimi.Juzi flani hivi nilikwenda kumsalimia alikuwa anaumwa nikafika kwake kwenda kumjulia hali ila kwa mda huo nilioenda mpenz wangu hakuwepo ambae ni binti yake alikuwa bado hajarud kutoka kazin.Nilivofika nikamkuta mdogo wake na mama mkwe wangu mtarajiwa pamoja na mama mkwe wangu mwenyewe wakiwa wameketi njee ya nyumba.
Nikawasilimia vizuri kabisa nikatoa vimzigo nilivo nunua nikawapa pale kama pole tukawa tunapiga stor zingine tu za kawaida mda kidg mdog wake akanyanyuka akaingia ndani tukawa wawili tu nje.akaniambia mwenzako bado hajarud kutoka kazini nikamwambia hta hivo nimewasiliana nae kaniambia yupo njiana anarudi nyumbani,akaniuliza hiv umempendea nini mwanangu kwanza hilo swali alivoniuliza moyo ulistuka paa nikasema kuna nn tena nikatizama chini nikamjibu mama unajua mapenzi huwa ni hayaelezeki na mimi sijui hta nilichompendea nimekjikuta nina amani moyoni mwangu kabisa kuhusu mwanao hivo yan.akaniambia hiv hujamwaona flani ambae sasa ni mdogo wake nikamwambia nimemuona mbona ni mzuri sana kuliko mchumba wako mmmh nikaguna nikasema ndio mzuri kwan hajaolewa nikamuuliza? akaniambia bado hajaolewa tena huyu ndo anakufaa zaid kuliko hta huyo unae mng'ang'ania ..
sasa baadae nilivota pale kwa yale mazungumzo yalinichanganya kdg..ila sasa mdogo wake anamiaka 31 mwanae anamiaka 24 mdogo wake kutokana na stori anazonipa demu wangu ananiambia huwa analalamika sana haolewi hana bahati alafu kazalishwa mtt mmoja na jamaa flani alafu pia sasa mbali na hapo kapangiwa nuyumba na mume wa mtu ila bado anataka kuolewa anasema yeye kachoka kuwa hawara umri umeenda sana.
sasa ulewa wangu ni kwamba huyu mama anataka kumpa neema mdogo wake kwakuwa mwanae bado binti hajazaa anaweza pata tu mwingine ila mimi ndo nijikanyage nikaopoe huo mzigo ambao tyar ushasoma kilometa za kutosha .
Nikawasilimia vizuri kabisa nikatoa vimzigo nilivo nunua nikawapa pale kama pole tukawa tunapiga stor zingine tu za kawaida mda kidg mdog wake akanyanyuka akaingia ndani tukawa wawili tu nje.akaniambia mwenzako bado hajarud kutoka kazini nikamwambia hta hivo nimewasiliana nae kaniambia yupo njiana anarudi nyumbani,akaniuliza hiv umempendea nini mwanangu kwanza hilo swali alivoniuliza moyo ulistuka paa nikasema kuna nn tena nikatizama chini nikamjibu mama unajua mapenzi huwa ni hayaelezeki na mimi sijui hta nilichompendea nimekjikuta nina amani moyoni mwangu kabisa kuhusu mwanao hivo yan.akaniambia hiv hujamwaona flani ambae sasa ni mdogo wake nikamwambia nimemuona mbona ni mzuri sana kuliko mchumba wako mmmh nikaguna nikasema ndio mzuri kwan hajaolewa nikamuuliza? akaniambia bado hajaolewa tena huyu ndo anakufaa zaid kuliko hta huyo unae mng'ang'ania ..
sasa baadae nilivota pale kwa yale mazungumzo yalinichanganya kdg..ila sasa mdogo wake anamiaka 31 mwanae anamiaka 24 mdogo wake kutokana na stori anazonipa demu wangu ananiambia huwa analalamika sana haolewi hana bahati alafu kazalishwa mtt mmoja na jamaa flani alafu pia sasa mbali na hapo kapangiwa nuyumba na mume wa mtu ila bado anataka kuolewa anasema yeye kachoka kuwa hawara umri umeenda sana.
sasa ulewa wangu ni kwamba huyu mama anataka kumpa neema mdogo wake kwakuwa mwanae bado binti hajazaa anaweza pata tu mwingine ila mimi ndo nijikanyage nikaopoe huo mzigo ambao tyar ushasoma kilometa za kutosha .