Mama wa mchumba wangu ananikuwadia kwa mdogo wake

Mama wa mchumba wangu ananikuwadia kwa mdogo wake

Hujatoa maoni yako juu ya aliyokwambia mama mkwe, Je ni kweli mdogo wake ni mzuri kuliko mwanawe? Nani kati yao ana chura iliyonyooka?
 
Na ukizubaa huyo mchumba wako utamuoa akiwa na mimba yake

Take care
 
Huyo hafai kuwa mama mkwe wako na hiyo family usioe hapo..cha kufanya mgonge huyo mamdogo...kisha huyo kuwadi mamamkw pia pita nae maana tayr nishaona anaigilika halaf sasa WAPIGE CHINI WOOOTE tembea zako
 
umesha pata picha kamili kuhusu hio family.Afu una komaa na kuoa family hio!!!!!!!!.usisahau kuleta mrejesho wa jinsi huyo mkeo mtarajiwa anavo kusumbua katika ndoa
 
Habari, nina stori moja leo ambayo inaniumiza kichwa kabisa kuhusu mama wa mchumba wangu simuelewi hata kidgo ana nia gani na mimi.Juzi flani hivi nilikwenda kumsalimia alikuwa anaumwa nikafika kwake kwenda kumjulia hali ila kwa mda huo nilioenda mpenz wangu hakuwepo ambae ni binti yake alikuwa bado hajarud kutoka kazin.Nilivofika nikamkuta mdogo wake na mama mkwe wangu mtarajiwa pamoja na mama mkwe wangu mwenyewe wakiwa wameketi njee ya nyumba.

Nikawasilimia vizuri kabisa nikatoa vimzigo nilivo nunua nikawapa pale kama pole tukawa tunapiga stor zingine tu za kawaida mda kidg mdog wake akanyanyuka akaingia ndani tukawa wawili tu nje.akaniambia mwenzako bado hajarud kutoka kazini nikamwambia hta hivo nimewasiliana nae kaniambia yupo njiana anarudi nyumbani,akaniuliza hiv umempendea nini mwanangu kwanza hilo swali alivoniuliza moyo ulistuka paa nikasema kuna nn tena nikatizama chini nikamjibu mama unajua mapenzi huwa ni hayaelezeki na mimi sijui hta nilichompendea nimekjikuta nina amani moyoni mwangu kabisa kuhusu mwanao hivo yan.akaniambia hiv hujamwaona flani ambae sasa ni mdogo wake nikamwambia nimemuona mbona ni mzuri sana kuliko mchumba wako mmmh nikaguna nikasema ndio mzuri kwan hajaolewa nikamuuliza? akaniambia bado hajaolewa tena huyu ndo anakufaa zaid kuliko hta huyo unae mng'ang'ania ..

sasa baadae nilivota pale kwa yale mazungumzo yalinichanganya kdg..ila sasa mdogo wake anamiaka 31 mwanae anamiaka 24 mdogo wake kutokana na stori anazonipa demu wangu ananiambia huwa analalamika sana haolewi hana bahati alafu kazalishwa mtt mmoja na jamaa flani alafu pia sasa mbali na hapo kapangiwa nuyumba na mume wa mtu ila bado anataka kuolewa anasema yeye kachoka kuwa hawara umri umeenda sana.

sasa ulewa wangu ni kwamba huyu mama anataka kumpa neema mdogo wake kwakuwa mwanae bado binti hajazaa anaweza pata tu mwingine ila mimi ndo nijikanyage nikaopoe huo mzigo ambao tyar ushasoma kilometa za kutosha .
Tabia za Mama lazima mtoto wake wa kike atazirithi tu!

Take note, utashukuru baadae!
 
Huoni aibu kuleta mazungumzo ya familia hadharani wewe ni mmoja tayari wa hiyo familia baya lao ni lako na zuri lao ni lako pia
Huyo mama mkwe mwenyewe hajiheshimu acha tu atuletee story zao how come mama mkwe anaongea maneno kama hayo na mkwewe

Ila Kuna family nyingine ni nyoko na nusu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] yaani kabisa mama yako mkwe mleta mada Yupo radhi umkule mwanae na mdogo wake [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Ipo siku 1 anaweza akakupa chezo na yeye hiyo family nimeipenda Sana nipe connection mkuu
 
Habari, nina stori moja leo ambayo inaniumiza kichwa kabisa kuhusu mama wa mchumba wangu simuelewi hata kidgo ana nia gani na mimi.Juzi flani hivi nilikwenda kumsalimia alikuwa anaumwa nikafika kwake kwenda kumjulia hali ila kwa mda huo nilioenda mpenz wangu hakuwepo ambae ni binti yake alikuwa bado hajarud kutoka kazin.Nilivofika nikamkuta mdogo wake na mama mkwe wangu mtarajiwa pamoja na mama mkwe wangu mwenyewe wakiwa wameketi njee ya nyumba.

Nikawasilimia vizuri kabisa nikatoa vimzigo nilivo nunua nikawapa pale kama pole tukawa tunapiga stor zingine tu za kawaida mda kidg mdog wake akanyanyuka akaingia ndani tukawa wawili tu nje.akaniambia mwenzako bado hajarud kutoka kazini nikamwambia hta hivo nimewasiliana nae kaniambia yupo njiana anarudi nyumbani,akaniuliza hiv umempendea nini mwanangu kwanza hilo swali alivoniuliza moyo ulistuka paa nikasema kuna nn tena nikatizama chini nikamjibu mama unajua mapenzi huwa ni hayaelezeki na mimi sijui hta nilichompendea nimekjikuta nina amani moyoni mwangu kabisa kuhusu mwanao hivo yan.akaniambia hiv hujamwaona flani ambae sasa ni mdogo wake nikamwambia nimemuona mbona ni mzuri sana kuliko mchumba wako mmmh nikaguna nikasema ndio mzuri kwan hajaolewa nikamuuliza? akaniambia bado hajaolewa tena huyu ndo anakufaa zaid kuliko hta huyo unae mng'ang'ania ..

sasa baadae nilivota pale kwa yale mazungumzo yalinichanganya kdg..ila sasa mdogo wake anamiaka 31 mwanae anamiaka 24 mdogo wake kutokana na stori anazonipa demu wangu ananiambia huwa analalamika sana haolewi hana bahati alafu kazalishwa mtt mmoja na jamaa flani alafu pia sasa mbali na hapo kapangiwa nuyumba na mume wa mtu ila bado anataka kuolewa anasema yeye kachoka kuwa hawara umri umeenda sana.

sasa ulewa wangu ni kwamba huyu mama anataka kumpa neema mdogo wake kwakuwa mwanae bado binti hajazaa anaweza pata tu mwingine ila mimi ndo nijikanyage nikaopoe huo mzigo ambao tyar ushasoma kilometa za kutosha .
Sikia wanataka kujua mtoto wao anaolewa na rijali,sasa wewe mpige nao mkia huyo mdogo wake then muache kwenye mataa
 
Back
Top Bottom