Mama wa mchumba wangu ananikuwadia kwa mdogo wake

Haya mambobya pwani, sidhani lama mama wa bara anaweza kuongea utumbo huo
 
Hujatoa maoni yako juu ya aliyokwambia mama mkwe, Je ni kweli mdogo wake ni mzuri kuliko mwanawe? Nani kati yao ana chura iliyonyooka?
 
Na ukizubaa huyo mchumba wako utamuoa akiwa na mimba yake

Take care
 
Huyo hafai kuwa mama mkwe wako na hiyo family usioe hapo..cha kufanya mgonge huyo mamdogo...kisha huyo kuwadi mamamkw pia pita nae maana tayr nishaona anaigilika halaf sasa WAPIGE CHINI WOOOTE tembea zako
 
umesha pata picha kamili kuhusu hio family.Afu una komaa na kuoa family hio!!!!!!!!.usisahau kuleta mrejesho wa jinsi huyo mkeo mtarajiwa anavo kusumbua katika ndoa
 
Tabia za Mama lazima mtoto wake wa kike atazirithi tu!

Take note, utashukuru baadae!
 
Huoni aibu kuleta mazungumzo ya familia hadharani wewe ni mmoja tayari wa hiyo familia baya lao ni lako na zuri lao ni lako pia
Huyo mama mkwe mwenyewe hajiheshimu acha tu atuletee story zao how come mama mkwe anaongea maneno kama hayo na mkwewe

Ila Kuna family nyingine ni nyoko na nusu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] yaani kabisa mama yako mkwe mleta mada Yupo radhi umkule mwanae na mdogo wake [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Ipo siku 1 anaweza akakupa chezo na yeye hiyo family nimeipenda Sana nipe connection mkuu
 
Sikia wanataka kujua mtoto wao anaolewa na rijali,sasa wewe mpige nao mkia huyo mdogo wake then muache kwenye mataa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…