T11 JF-Expert Member Joined Oct 11, 2017 Posts 5,101 Reaction score 4,560 Jan 6, 2022 #381 elmagnifico said: Hii kauli ya mshahara wa dhambi ni mauti ina maana wema hawafi au? Click to expand... Na wale watoto wanafariki wiki, Miezi nk wanakuwa wamefanya dhambi gani
elmagnifico said: Hii kauli ya mshahara wa dhambi ni mauti ina maana wema hawafi au? Click to expand... Na wale watoto wanafariki wiki, Miezi nk wanakuwa wamefanya dhambi gani
Kalunya JF-Expert Member Joined Oct 5, 2021 Posts 13,322 Reaction score 18,609 Jan 7, 2022 #382 Hatimae mume muuaji Apatikana Thread 'Aliyeua Mke apatikana Muleba alikokwenda kujificha, akutwa katika harakati za kujiua' Aliyeua Mke apatikana Muleba alikokwenda kujificha, akutwa katika harakati za kujiua
Hatimae mume muuaji Apatikana Thread 'Aliyeua Mke apatikana Muleba alikokwenda kujificha, akutwa katika harakati za kujiua' Aliyeua Mke apatikana Muleba alikokwenda kujificha, akutwa katika harakati za kujiua
Kalunya JF-Expert Member Joined Oct 5, 2021 Posts 13,322 Reaction score 18,609 Jan 7, 2022 #383 Mzava Apatikana
Kalunya JF-Expert Member Joined Oct 5, 2021 Posts 13,322 Reaction score 18,609 Jan 7, 2022 #384 Bora kujitenga nae kuliko kuua,japo wakati kuua utokea tu bila dhamira. Ukiona mke kakukera toka nje katembee urudi stress imeisha
Bora kujitenga nae kuliko kuua,japo wakati kuua utokea tu bila dhamira. Ukiona mke kakukera toka nje katembee urudi stress imeisha
Mamndenyi JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 43,242 Reaction score 60,939 Jan 7, 2022 #385 Kalunya said: Mzava Apatikana View attachment 2071617 Click to expand... @mshana jr nini kilimfika huyu baba anayeonekana mwelewa mzuri tu. Watoto wanalia tu sasa au hakua na watoto.
Kalunya said: Mzava Apatikana View attachment 2071617 Click to expand... @mshana jr nini kilimfika huyu baba anayeonekana mwelewa mzuri tu. Watoto wanalia tu sasa au hakua na watoto.
Mamndenyi JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 43,242 Reaction score 60,939 Jan 7, 2022 #386 Hebu wekeni hizi picha pamoja tuweze kuzisoma