Mama wa watoto watatu waliotelekezwa Ulanga ajisalimisha Polisi

Mama wa watoto watatu waliotelekezwa Ulanga ajisalimisha Polisi

NostradamusEstrademe

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2017
Posts
3,402
Reaction score
4,532
Kabla ya habari yenyewe chini huyu mama amerudi kwa sababu amepata habari watoto watajengewa nyumba ya kisasa na watasomeshwa na mzungu mmoja anayechimba madini ya graphite.

Ushauri wangu kwa polisi na mahakama msameheni huyu mama alee watoto wake maana mkimfunga mtawazidishia watoto machungu. Kama ni kujifunza amejifunza hakuna binadamu mkamilifu mambo ya mahusiano ni magumu, sasa endeleeni chini

Ulanga. Mama wa watoto watatu wa kike wa kijiji cha Gombe wilayani Ulanga mkoani Morogoro waliokuwa wametelekezwa baada ya wazazi wote wawili kuondoka kila mmoja kuoa na kuolewa amejisalimisha kituo cha Polisi Ulanga huku akiomba kurudi kuwalea watoto wake.

Julai 21 mwaka huu Mkuu wa Wilaya ya Ulanga, Ngollo Malenya alipowatembelea watoto hao aliagiza wazazi wawili, Thomas Ulanda na Adelyda Nakashawa wakamatwe.

Tangu wazazi hao waondoke, Elionida Ulanda (17) ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Celina Kombani amekuwa na jukumu la kuwalea wadogo zake.
 
Kabla ya habari yenyewe chini huyu mama amerudi kwa sababu amepata habari watoto watajengewa nyumba ya kisasa na watasomeshwa na mzungu mmoja anayechimba madini ya graphite.

Ushauri wangu kwa polisi na mahakama msameheni huyu mama alee watoto wake maana mkimfunga mtawazidishia watoto machungu. Kama ni kujifunza amejifunza hakuna binadamu mkamilifu mambo ya mahusiano ni magumu, sasa endeleeni chini

Ulanga. Mama wa watoto watatu wa kike wa kijiji cha Gombe wilayani Ulanga mkoani Morogoro waliokuwa wametelekezwa baada ya wazazi wote wawili kuondoka kila mmoja kuoa na kuolewa amejisalimisha kituo cha Polisi Ulanga huku akiomba kurudi kuwalea watoto wake.

Julai 21 mwaka huu Mkuu wa Wilaya ya Ulanga, Ngollo Malenya alipowatembelea watoto hao aliagiza wazazi wawili, Thomas Ulanda na Adelyda Nakashawa wakamatwe.

Tangu wazazi hao waondoke, Elionida Ulanda (17) ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Celina Kombani amekuwa na jukumu la kuwalea wadogo zake.
Watu wanatembea na fursa tu, daaaah
 
Naamrisha apigwe bakora 20X3 kwa miezi 6.
Alivyokuwa anatanua miguu alitegemea nini?
 
Huyo ndio mama aliyejisalimisha polisi.Unaweza msoma mtu tabia kwa sura yake anaonekana hazimo sawa sawa kichwani.Watoto wanajengewa nyumba na kusomeshwa kaona ngoja arudi
 

Attachments

  • morogoro.JPG
    morogoro.JPG
    2.8 KB · Views: 6
Kabla ya habari yenyewe chini huyu mama amerudi kwa sababu amepata habari watoto watajengewa nyumba ya kisasa na watasomeshwa na mzungu mmoja anayechimba madini ya graphite.

Ushauri wangu kwa polisi na mahakama msameheni huyu mama alee watoto wake maana mkimfunga mtawazidishia watoto machungu. Kama ni kujifunza amejifunza hakuna binadamu mkamilifu mambo ya mahusiano ni magumu, sasa endeleeni chini

Ulanga. Mama wa watoto watatu wa kike wa kijiji cha Gombe wilayani Ulanga mkoani Morogoro waliokuwa wametelekezwa baada ya wazazi wote wawili kuondoka kila mmoja kuoa na kuolewa amejisalimisha kituo cha Polisi Ulanga huku akiomba kurudi kuwalea watoto wake.

Julai 21 mwaka huu Mkuu wa Wilaya ya Ulanga, Ngollo Malenya alipowatembelea watoto hao aliagiza wazazi wawili, Thomas Ulanda na Adelyda Nakashawa wakamatwe.

Tangu wazazi hao waondoke, Elionida Ulanda (17) ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Celina Kombani amekuwa na jukumu la kuwalea wadogo zake.
Hatma ya binadamu ipo mikononi mwa Mungu who knows wangejengewa nyumba na kusomeshwa Mungu ni mwema wakati wote!
 
Wakimuachia bila adhabu wapumbavu wengi watatelekeza watoto wakitegemea misaada kama hio ili wajitokeze mbeleni
Kiufupi Hawawezi muwacha hivi hivi ye amejikoroga kudhani ni mwanamke ni mama mambo yataisha kirahisi

Baba ame mute mpka sahiv anaelewa show yake

Child negligence kwa tz inachukuliwa kawaida lakini anapojihusisha viongozi mfano kiongozi wa ulinzi kamati ya wilaya basi linakuwa si jambo dogo tena
 
Back
Top Bottom