Kaka Maombi tu Ndo soln hata Kama mmesali Mara million hakuna kilochotokea, I still say Maombi tu will do, but first advice is, go and have all the hospital answer kuhusu Kupata hedhi etc, jiridhishe kabisa na utaalam Wa kisayansi, baada ya hapo ni Maombi.
Baada ya hapo sasa je waenda ombewa wapi? Wachumgaji Wengi ni wasanii, sijui UPI wapi ila Dar Ni tabu, mapasta Wengi Wa sanii, ila kuna mapasta Wengi Pia Wa ukweli.
Kwepa haya makanisa mapya ya kisanii, mapasta wanajisifu mwanzo mwisho, mchungaji anajiita mheshimiwa , nabii na mtume, huu ni ujinga.
Kupunguza shida na Wasiwasi nenda mkanisa Kama TAG, EAGT, etc, me sipo dar but one the church that I real trust can be of help to you is TAG ubungo.
Pole but I tell you Unaweza kuuamaliza yote hayo na kuishi na Amani na mke wako, na Unaweza haribu Ndoa yako na ukapoteza mtoto wako kabisa na mke wako.
Ahsante.