Mama watoto kila siku anaota anafanya mapenzi na watu tofautitofauti

km ninyi ni wakristo nenden kwa padr ama mchungaj mumshirikishe awaombee na pia muwe na iman ya kuwa mtashinda. km ni waislam mmuone sheikh pia
Mapadre wahuni sana, asije mfanyia mkeo maombi ya falaghani. Halafu si unajua wajawazito walivyo wamoto
 
toa kwanza picha yako hiyo nikujibu
 
Mkeo atakuwa mtamu sana ndo maana majini yanampiga katerero daily.. Okoka kuepukana na mapepo haya... Nenda mlima wa moto ukaombewee
 
Nilipoanza kusoma nilijua unatania!
 
Ni majini Mahaba ( spiritual Husbands) mpeleke kwa WALOKOLE akaombewe, wala usimchukie sio yeye na hayo mashetani yanakufanya wewe usiwe na hamu nae. Faqnya hima kabla madhara hayajawa makubwa zaidi
 
nakubaliana na mawazo na uashuri mwingi mzuri ulitolewa ukiwemo huu hapa juu.lakini napenda kuongeza yafuatayo
jana nilikuwa kwenye semina moja ya dini mwalimu mmoja anaitwa pallangyo alieleza vizuri kuhusu tumbo la uzazi na nikaelewa mengi japo nilienda siku chache wanawake wengi wanamatatizo mno ya kuingiliwa na mapepo kupitia tumbo la uzazi. hivyo kama uko dar unaweza kwenda kanisa la lutheran kimara unaweza kupewa ushauri au huduma kupitia mafundisho na tatizo kwa kiasi fulani kama ni la mapepo likaisha hasa lako kama lipo hivyo ( usiogope hawaubiri lokole wananafundisha neno la mungu na wala hutalazimishwa kuokoka ) pole sana
 
Huyo anatakiwa kuombewa na watu waliookoka( Spiritual husbands ndio wanaleta hayo matatizo)
 
ndugu yangu hiyo ni mikakati ya ibilisi. Ingia kwenye maombi au nenda kwenye huduma ya kiroho iliyopo karibu nawe.
 
Mpeleke Hospital mkeo haraka achana na story za majini, ebu fugua mawazo yako na kua mwanamme mwenye mamuzi sahihi,mganga atakwambia mkeo umuwache alale kwake wewe urejee nyumbani baada ya siku 3 ukamchukue,kesha jifaidia vyakutosha.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…