Mama wema sepetu achukizwa na uamuzi wa mwanae kuhama chama bila kumshirikisha kimaamuzi

Numbisa

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2016
Posts
301,221
Reaction score
1,172,274
MAMA SEPETU AFUNGUKA Mama mzazi wa Wema Sepetu amesema kitendo cha mwanae kurudi CCM bila kumuomba ushauri ni kitu ambacho kimemdhalilisha kama mzazi, asema yeye atabakia CHADEMA. Adai wanaomshauri mtoto wake hawamtakii mema kwani alipopata matatizo hawakumsaidia.
 
mama sidhani na yeye kama atachukua cku ndani ya chadema bila kufuata nyayo za mwanaye,mimi ni mfugaji na wafugaji wanajua ukitaka mfugo akufuate mchukue mwanaye.CHADEMA ni chama imara cha watu waliojikana nafsi zao kwa ajili ya kutafuta haki, waliozoea misukosuko ya kila aina kutoka kwa tawi la ccm jeshi la polisi
 
Pole pole asema hiviii"chama sio daladla" so hatutaki mamulukiiii.
Mdada kashushuka hadi nimesisimka.
 
Mizugo jazz band
 
Mazingaombwe mazingaombwe tu.
 
Muvi zimedoda kick zimebaki kuhamahama vyama!
 
Wema bhanaaaaa kaenda kumtelekeza mamake huko mwenyewe karudi fasta kamwacha mamake haelewi afanyeje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…