Mama Wema Sepetu akiwachamba wale wote wanaosema mwanae ana umbo feki


Duh! Kweli kumbe andiko la kama alivyo mamaye ndivyo alivyo bintiye.
 
South Afrika karibu kila mwanamke amejaaliwa, inaelekea kule tunaweza kukupoteza ndugu yetu.

Wako normal , ni kama huku kwetu, I happened to be there!
Fortunately sikupotea wala kupotezwa!
 
Mwanae karithi akili za mama yke 150% kuanzia upuuzi mpka kutukana ovyo.....huyu mama ndio anamharibu wema mana chochote mwanae akifanya anamsifia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…