Mama yake Diamond akiwa na mwanae mtaani Nairobi

Kwani wewe Matola, si pia unaheshima yako, vipi Diamond asiwe na Heshima yake.

Nimekuuliza kati ya JK na Pinda na Diamond ni nani mwenye heshima na hadhi katika jamii?

Jibu swali halafu unieleze kama huwa wanavaa kama Bongo movie?
 
hii dunia imeshaharibika!yeye diamond kila siku anawagongea watu dada zao na mademu wao asije akashangaa siku anapata baba wa kambo pasi kutarajia.......bongo watu wanatafuta tu draw!wewe unamchapia naye anakuchapia
 
hii dunia imeshaharibika!yeye diamond kila siku anawagongea watu dada zao na mademu wao asije akashangaa siku anapata baba wa kambo pasi kutarajia.......bongo watu wanatafuta tu draw!wewe unamchapia naye anakuchapia

Ina maana unadhani hakuna msela anayemmega Mama yake domo? Sikutegemea comment hii kutoka kwako.
 
Huyo ni mama diamond sio diamond jamani
 
Muwe mnajiedit kabla ya kupost...
hapo ni Dar siyo KENYA,mama alisindikiza tu hakwenda Kenya,..
mbona thisisdiamond nimeandika kwa \kueleweka tu..
 
Nimekuuliza kati ya JK na Pinda na Diamond ni nani mwenye heshima na hadhi katika jamii?

Jibu swali halafu unieleze kama huwa wanavaa kama Bongo movie?

kaka unalinganisha heshima za watu na za rais na waziri mkuu. hapo kazi ipo.
 

Nyie ndo mnafanya vitu kuimpress watu,ina maana ye hajui kuna nguo kama hizo?acheni kupangia watu jinsi ya kuishi maisha yao
 
Ina maana unadhani hakuna msela anayemmega Mama yake domo? Sikutegemea comment hii kutoka kwako.

hujaninyaka poa babu!..yeye diamond akimega mademu si anakimbilia kwenye media watu wajue!...nachomaanisha kama kuna msela anajipigia huyu bi mkubwa naye auze sura na huyu bi mkubwa katika media ili wabongo wamjue baba wa kambo wa diamond!...........................ila unaweza ukakuta muhdini ngurumo ndo anapumzika kwa huyo bi mkubwa ndo maana kijana akaona siyo kesi kumtia fun cargo mshua wa kambo
 

..teh teh teh teh
 
Muwe mnajiedit kabla ya kupost...
hapo ni Dar siyo KENYA,mama alisindikiza tu hakwenda Kenya,..
mbona thisisdiamond nimeandika kwa \kueleweka tu..
sory mkuu nimelielewa hilo baada ya kuwa nishapost na kama unvyojua huwezi kuedit title ningekuwa naweza ningeshaedit bt my main concern ilikuwa the way alivyovaa and not where she was ila kwa sababu lengo langu sio kuandika uongo ni kiroho safi tu unaweza kuireport hii thread.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…