Mama yake Uhuru Kenyatta aondolewa ulinzi

Hapo wahuni watavamia nyumbani Kwa mama huyo, Kwa kisingizio police wote wapo kuzuia maandamano. So wakitaka ulinzi kusiwe na maandamano
 
sasa kama mtu analeta ujinga, na wewe ndio unamlinda, alitegemea nini? ondoa ulinzi kwa mwanae, na ondoa ulinzi kwake ili wajilinde wenyewe. uhuru alishaharibu sana, alitakiwa kunywea ili amalizie uzee wake vizuri. unaona kabisa jamaa ameshika rungu halafu bado unaleta bifu.
 
This is wrong in so many different levels....

Unaweza ukajiuliza kama alipewa hao walinzi kwanini leo waondolewe (Au ndio nikune nikukune)?!!

Ila swali kubwa zaidi je ni sawa hawa watu waendelee kulindwa / kuhudumiwa kwa kutumia Tax Payers money ?!! Yaani kwenye pensheni yake na marupurupu anakosa pesa ya kujiwekea ulinzi ?

Kwanini nasema hayo - (hili gap la have and have not linavyozidi kuongezeka na chuki baina ya matabaka inaongezeka) mambo kama haya ndio yataongeza chuki kwa wasionacho - kwamba iweje mimi nisiye na kitu najilinda alafu yule ambaye anaweza ku-afford walinzi ninamlipia walinzi ?

Hard Times are Coming ahead...
 
Inaelekea Ruto naye ni mtu wa visasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…