Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
Kwani anayo hiyo hishma tangu liniLeo mama wema nimekushusha huku mtaani kwetu tunasema nimekushusha vyeo yaani heshima nimesikiliza mahojiano yako na Soudy Brown wa Clouds fm muda huu nimeshangaa unavyopayuka kuhusu ugomvi wa mwanao na Man Fongo hata haingii akilini kwa kuchukua maneno ya kuambiwa ndo kuwa source yako kubwa kuamini na kuongea maneno ambayo hata mwanao angeongea ningemdharau ila umekuja kuongea wewe naona bado ujauzoea umaarufu we ni mtu mzima unatakiwa ujiepushe na mambo hayo ya kitoto mana hata mwanao ni binadamu na anakosea sijapenda kabisa
Kuna serengeti boy ana act ukichwa wa familiabi mkubwa kajichanganya
hana jinsi hana kichwa cha familia mwanaume
Hahaha uwii nakupenda sanaUkiona mtu tu anahojiwa na Soudy Brown ujue 'hazimtoshi' kihivyo
kichwa cha familia kile ambacho kinamiliki sio kumilikiwaKuna serengeti boy ana act ukichwa wa familia
Mkuu i miss yu much so...Napenda mama Wema anavyomsaidia mwanae[emoji7]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji14] [emoji85] [emoji85]Mi huwa nahisi huyu mama enzi zake alikuwa ndo gigy money, sema alikosa publicity tuu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji14] [emoji85] [emoji85]
[emoji120] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji99] [emoji99][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Halafu si ulisha aga unaenda kulala wewe!!?
Haya kapumzike
Hahaha[emoji120] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji99] [emoji99]
Kweli kabisa sapot ya mzazi inatiaHahaha
Ujifunze kumsapot mwanao kama mama wema
Gud nit
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Kweli kabisa sapot ya mzazi inatia
Ari mpya
Nguvu mpya
Hatimaye kutimiza malengo.
Kwa jambo lenye tija.
huyu mama kuna kituko alifanya kwenye event moja night kisa mambo haya haya ya binti yake yaani ni aibu.
ukishajijua wewe ni mtu mzima inabidi uishi kiutu uzima
Kipindi cha michezo cha zamani radio tanzania dar es salaam (RTD )Sorry to say this but that woman is not a perfect mom
Pole dada yangu ila umeenda mbali sana huko huyu anawakilisha sehemu ndogo sana si wazazi wote wana hulka hiyo.Kuna muda huaga silaumu sana mzazi wangu kuondoka mapema duniani
Leo mama wema nimekushusha huku mtaani kwetu tunasema nimekushusha vyeo yaani heshima nimesikiliza mahojiano yako na Soudy Brown wa Clouds fm muda huu nimeshangaa unavyopayuka kuhusu ugomvi wa mwanao na Man Fongo hata haingii akilini kwa kuchukua maneno ya kuambiwa ndo kuwa source yako kubwa kuamini na kuongea maneno ambayo hata mwanao angeongea ningemdharau ila umekuja kuongea wewe naona bado ujauzoea umaarufu we ni mtu mzima unatakiwa ujiepushe na mambo hayo ya kitoto mana hata mwanao ni binadamu na anakosea sijapenda kabisa
asante Mama angu mie alikua ananipenda mnoo yani sijui yaniPole dada yangu ila umeenda mbali sana huko huyu anawakilisha sehemu ndogo sana si wazazi wote wana hulka hiyo.