Mama yake Wema Sepetu unajishushia heshima

Kwani anayo hiyo hishma tangu lini
 
Tabia ni ngozi mimi bibi yangu mzaa baba anamiaka 70s ila izi bongofleva anavyoimba tena mpya mpya yaaani ki ufupi ni mama wema type so hao watu wapo.
 
Duh! Halafu mtoto anabinua chura mbele ya mama yake.... Noma sana
 
huyu mama kuna kituko alifanya kwenye event moja night kisa mambo haya haya ya binti yake yaani ni aibu.

ukishajijua wewe ni mtu mzima inabidi uishi kiutu uzima


Alifanyaje?
 
Uhuni wa mwanae kubadili wanaume hapa mjini unampa faida na kwikwi na yeye ndio tabia za wamama wa Instagram hizo.
 

kunya boga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…