Aisee sijui yani kama atachomoka...Hahaha
Ujifunze kumsapot mwanao kama mama wema
Gud nit
Huo ndo ukweli wachache sana ndo amba wanaweza wakawa walezi wazuri kwa mtoto Ila wamama wengi ni mtihaniSorry to say this but that woman is not a perfect mom
C uache kuchangia Kwan lazimaJamani huku sio fb au badoo kwamba mnakurupuka tu kuleta nyuzi sasa hapo hata alichosema hujaandika sasa unataka tuchangie nn?
kichwa cha familia kile ambacho kinamiliki sio kumilikiwa
Hahaaa huyo mama anatafunika tu kuna wazee zaidi yke watu wanatafuna 2.ila utu uzima ni dawa maza mshipa wa aibu hanaHuyu Mama kuna angle nilikutana nae!!Doooo aasalaleheeeee!!!Nikajisemea "Mkristo kaza moyo,kituo cha Tisa,Msalaba wamlemea mwokozi"
Yaani akionja bia kadhaa basi zinahama toka kichwani kuja kwingine....Tatizo ukiungalia uso na makunyanzi Abdalah anasinzia,lkn ukijivika kininja ukawa unapapasa tu kizani....Mbona Swalaah swalaaah hii hapa mtu bado unatupia tu.
Huyu Mama enzi zake,Wazee wetu watakuwa walicheza sana "Off side" trick...Sema ndio hivyo mafb na mainsta hayakuwepo
Kavideo kidogo tuoneHuyo mama alienda pia kwenye kigoma cha Wema alichokifanyia sijui ndo Escape 1 pale.
Tena akapanda hadi kwenye jukwaa.
Akawa anajitikisa tikisa kama wale wadada wengine walivyokuwa wanafanya.
Hajielewi huyo mwanamke.
wanamsema mama diamond mswahili ila kwa huyu mama haoni ndani. aakkuuu mama ana mambo ya kuabisha kaa si mtu mzima.Leo mama wema nimekushusha huku mtaani kwetu tunasema nimekushusha vyeo yaani heshima nimesikiliza mahojiano yako na Soudy Brown wa Clouds fm muda huu nimeshangaa unavyopayuka kuhusu ugomvi wa mwanao na Man Fongo hata haingii akilini kwa kuchukua maneno ya kuambiwa ndo kuwa source yako kubwa kuamini na kuongea maneno ambayo hata mwanao angeongea ningemdharau ila umekuja kuongea wewe naona bado ujauzoea umaarufu we ni mtu mzima unatakiwa ujiepushe na mambo hayo ya kitoto mana hata mwanao ni binadamu na anakosea sijapenda kabisa
wengine utu uzima ni umri tu ila sio matendo..kama huyu mama.. hahahahuyu mama kuna kituko alifanya kwenye event moja night kisa mambo haya haya ya binti yake yaani ni aibu.
ukishajijua wewe ni mtu mzima inabidi uishi kiutu uzima
hovyo hovyo kabisa.. unaanzaje bibi umri ule unakata viuno na mwanao jukwaa moja!? what a shame!!?Huyo mama alienda pia kwenye kigoma cha Wema alichokifanyia sijui ndo Escape 1 pale.
Tena akapanda hadi kwenye jukwaa.
Akawa anajitikisa tikisa kama wale wadada wengine walivyokuwa wanafanya.
Hajielewi huyo mwanamke.
Absolutely...The Momma's attitude is a reflection on her daughter's character to say the least
Duu ila viuno vigumu kama peremendeM pia nilishangaa sana
Huy mama anafanana na mtoto wake tabia
Haahaa peremende haaha jamaniDuu ila viuno vigumu kama peremende
sorry to say this.. baadhi ya wajane wamama watu wazima (walioachika/waliofiwa waume) huwa tabia zao za ajabu kabisa.. kama sio uhasidi na uchonganishi basi tabia kama za mama wema.bi mkubwa kajichanganya
hana jinsi hana kichwa cha familia mwanaume
hahahah.Tabia ni ngozi mimi bibi yangu mzaa baba anamiaka 70s ila izi bongofleva anavyoimba tena mpya mpya yaaani ki ufupi ni mama wema type so hao watu wapo.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji14] [emoji85] [emoji85]