Mama yake Wema Sepetu unajishushia heshima

Mama yake Wema Sepetu unajishushia heshima

Hapo sinza vijana watakua wanapakua tu jimama hilo dah.
 
Huyu Mama kuna angle nilikutana nae!!Doooo aasalaleheeeee!!!Nikajisemea "Mkristo kaza moyo,kituo cha Tisa,Msalaba wamlemea mwokozi"
Yaani akionja bia kadhaa basi zinahama toka kichwani kuja kwingine....Tatizo ukiungalia uso na makunyanzi Abdalah anasinzia,lkn ukijivika kininja ukawa unapapasa tu kizani....Mbona Swalaah swalaaah hii hapa mtu bado unatupia tu.

Huyu Mama enzi zake,Wazee wetu watakuwa walicheza sana "Off side" trick...Sema ndio hivyo mafb na mainsta hayakuwepo
Hahaaa huyo mama anatafunika tu kuna wazee zaidi yke watu wanatafuna 2.ila utu uzima ni dawa maza mshipa wa aibu hana
 
Huyo mama alienda pia kwenye kigoma cha Wema alichokifanyia sijui ndo Escape 1 pale.

Tena akapanda hadi kwenye jukwaa.

Akawa anajitikisa tikisa kama wale wadada wengine walivyokuwa wanafanya.

Hajielewi huyo mwanamke.
Kavideo kidogo tuone
 
Leo mama wema nimekushusha huku mtaani kwetu tunasema nimekushusha vyeo yaani heshima nimesikiliza mahojiano yako na Soudy Brown wa Clouds fm muda huu nimeshangaa unavyopayuka kuhusu ugomvi wa mwanao na Man Fongo hata haingii akilini kwa kuchukua maneno ya kuambiwa ndo kuwa source yako kubwa kuamini na kuongea maneno ambayo hata mwanao angeongea ningemdharau ila umekuja kuongea wewe naona bado ujauzoea umaarufu we ni mtu mzima unatakiwa ujiepushe na mambo hayo ya kitoto mana hata mwanao ni binadamu na anakosea sijapenda kabisa
wanamsema mama diamond mswahili ila kwa huyu mama haoni ndani. aakkuuu mama ana mambo ya kuabisha kaa si mtu mzima.
 
huyu mama kuna kituko alifanya kwenye event moja night kisa mambo haya haya ya binti yake yaani ni aibu.

ukishajijua wewe ni mtu mzima inabidi uishi kiutu uzima
wengine utu uzima ni umri tu ila sio matendo..kama huyu mama.. hahaha
 
Mleta maada pamoja na mama wema wote mko sawa tu...maada yako haileweki kama mama wema asivyoeleweka....kama unabisha kuwa hueleweki basi thibitisha.
 
Huyo mama alienda pia kwenye kigoma cha Wema alichokifanyia sijui ndo Escape 1 pale.

Tena akapanda hadi kwenye jukwaa.

Akawa anajitikisa tikisa kama wale wadada wengine walivyokuwa wanafanya.

Hajielewi huyo mwanamke.
hovyo hovyo kabisa.. unaanzaje bibi umri ule unakata viuno na mwanao jukwaa moja!? what a shame!!?
 
bi mkubwa kajichanganya
hana jinsi hana kichwa cha familia mwanaume
sorry to say this.. baadhi ya wajane wamama watu wazima (walioachika/waliofiwa waume) huwa tabia zao za ajabu kabisa.. kama sio uhasidi na uchonganishi basi tabia kama za mama wema.
 
Back
Top Bottom