Ivan conspicuous
Senior Member
- Jun 19, 2022
- 103
- 83
Ni rushwa, ufisadi na upendeleo wa kutisha.
Behold! Behold!
Tazama! Tazama!
Na. 164. Tabitha Nyansika Getama karani wa sensa kata ya kivule wilaya ya Ilala Mkoa wa Dar Es Salaam ~ mtoto wa Diwani wa kata ya kivule.
Na. 174. Yusuph Nyansika Getama karani wa sensa kata ya kivule wilaya ya Ilala Mkoa wa Dar es Salaam ~ mtoto wa Diwani Kata ya kivule.
Mwalimu Nyerere enzi za uhai wake aliwahi kusema " chagueni mgombea atakaekidhi matarajio ya wananchi sio matarajio yako wewe mpiga kura". Sensa ya mwaka huu ni ya kukidhi matarajio ya watawala na watoto wao (nepotism). Mwaka huu kitaeleweka vinginevyo ondoa hizi namba kabla ya KESHO ambayo Ni cku ya semina. Rudisha majina mliyoyahujumu kwa kuyafisidi.
Mama SAMIA fahamu kuwa watawala huku chini wanaharibu taswira nzuri ya nchi yetu Tanzania. Huu mchakato unaharibiwa Mheshimiwa Rais nakuomba uchukue hatua kunusuru mchakato huu. Wakuu wa wilaya wao wanapitisha bila kupitia jina moja baada ya jingine. Mimi nimepitia na ninaendelea kupitia na kama kweli hatua yoyote haitachukuliwa nitaamini Ile barua ya UVCCM Mbeya.
Behold! Behold!
Tazama! Tazama!
Na. 164. Tabitha Nyansika Getama karani wa sensa kata ya kivule wilaya ya Ilala Mkoa wa Dar Es Salaam ~ mtoto wa Diwani wa kata ya kivule.
Na. 174. Yusuph Nyansika Getama karani wa sensa kata ya kivule wilaya ya Ilala Mkoa wa Dar es Salaam ~ mtoto wa Diwani Kata ya kivule.
Mwalimu Nyerere enzi za uhai wake aliwahi kusema " chagueni mgombea atakaekidhi matarajio ya wananchi sio matarajio yako wewe mpiga kura". Sensa ya mwaka huu ni ya kukidhi matarajio ya watawala na watoto wao (nepotism). Mwaka huu kitaeleweka vinginevyo ondoa hizi namba kabla ya KESHO ambayo Ni cku ya semina. Rudisha majina mliyoyahujumu kwa kuyafisidi.
Mama SAMIA fahamu kuwa watawala huku chini wanaharibu taswira nzuri ya nchi yetu Tanzania. Huu mchakato unaharibiwa Mheshimiwa Rais nakuomba uchukue hatua kunusuru mchakato huu. Wakuu wa wilaya wao wanapitisha bila kupitia jina moja baada ya jingine. Mimi nimepitia na ninaendelea kupitia na kama kweli hatua yoyote haitachukuliwa nitaamini Ile barua ya UVCCM Mbeya.