Mimi ni mdau ambaye natamani katiba mpya lakini sio wakati wake. Kwenye janga la Corona na baada ya kimpoteza Raisi huwezi kudakia katiba mpya maana watu watakuwa wanajadili wakiwa na matatizo mengi sana mengine vichwani.
Ushauri wangu ni kwamba vitu ambavyo wanaweza kufanya bila katiba mpya
1. Tume huru
2. Sera ya diaspora
Mama anaweza kufanya hivi bila kubadilisha katiba. Kwa sasa ukweli huwezi kuingiza mijadala ya kugawanya nchi wakati wewe ni Raisi mpya yeye sio mjinga
Ushauri wangu ni kwamba vitu ambavyo wanaweza kufanya bila katiba mpya
1. Tume huru
2. Sera ya diaspora
Mama anaweza kufanya hivi bila kubadilisha katiba. Kwa sasa ukweli huwezi kuingiza mijadala ya kugawanya nchi wakati wewe ni Raisi mpya yeye sio mjinga