Mama Zakia

Mama Zakia

Masanilo,
swala siyo atawahudumiaje ni saa ngapi atahudumia kayaaaa??


Mpendatz

Huku mtaani wazee wenye wake wengi huwa tunawasaidia huduma, sasa kwa pale Ikulu itakuwa ngumu kidogo....mabody guard na ulinzi kila mahali loo....
 
Huyu mama ana watoto wawili tu wa kike, wote wameolewa Dar. Ikiwa nchi hii ina marais wawili, basi udaku huu unaweza kuleta maana.
"So called moderator" hii ni siasa?
 
Invisible na wengineo,

Hivi mpaka habari kama hizi zimguse REGINALD MENGI, MWAKYEMBE, MAMA KILANGO ama MESIHA wenu wengine ndio itapelekwa kwenye CELEBRITIES ama UDAKU?

Niliweka thread ya MENGI, Sakina na maslahi ya Waisrael hapa haikuchukua dakika saba ikahamishwa kwenye CELEBRITIES even though it was definitely political issue, nilinyamza nikujua ni masuala ya uelewa tu. But here pure udaku and personality matter ipo kwa siku nne sasa inadunda....

Hivi mnadhani walio madarakani waliamka tu na kujikuta wanakosa credibility kama ilivyo sasa kiasi cha kushindwa hata kukemea yanayoendelea na kuamu kuyatumia kwa faida yao bila ya kujali mbegu za janga la chuki na uadui wanazopanda?

Kesho tutaanza kujidangany eti sisi ni vijana ndio tutakaokuwa salama ya nchi hii...hatua milioni zilianza na hatua moja...

omarilyas
 
Last edited:
Alipokuwa Waziri wa Mali Asili na Utali kashirikiana na wazungu wa Arusha na Pangani...wengine kutoa tikiti za bure kwa mvulana wake wake kwenda nao Amerika kutembea!
 
Moderator is supposed to moderate.
Hapa tuna Hypocrator...

Invisible na wengineo,

Hivi mpaka habari kama hizi zimguse REGINALD MENGI, MWAKYEMBE, MAMA KILANGO ama MESIHA wenu wengine ndio itapelekwa kwenye CELEBRITIES ama UDAKU?

Niliweka thread ya MENGI, Sakina na maslahi ya Waisrael hapa haikuchukua dakika saba ikahamishwa kwenye CELEBRITIES even though it was definitely political issue, nilinyamza nikujua ni masuala ya uelewa tu. But here pure udaku and personality matter ipo kwa siku nne sasa inadunda....

Hivi mnadhani walio madarakani waliamka tu na kujikuta wanakosa credibility kama ilivyo sasa kiasi cha kushindwa hata kukemea yanayoendelea na kuamu kuyatumia kwa faida yao bila ya kujali mbegu za janga la chuki na uadui wanazopanda?

Kesho tutaanza kujidangany eti sisi ni vijana ndio tutakaokuwa salama ya nchi hii...hatua milioni zilianza na hatua moja...

omarilyas
 
kama dini yake inaruhusu whats the problem? ila kwa ndugu zangu wa dini ya mheshimiwa, ukiwa unaoa mke wa pili, tatu na nne huwa inakuwa kimya kimya au zinafanywa shambra shambra kama ilivyokuwa kwa mke wa kwanza? maana tatizo hapa ni kama vile mkuu anafanya siri alafu anasogeza wale wa watu wazito wazito tena wenye kashfa, hapo ninapata wasiwasi kwamba yumkini jamaa akawa ana walinda wala rushwa na wala hana nia ya kweli ya kupambana na ruswa kama wapembe wake wenye kujikomba ili wakumbukwe 2010 wanavyotaka kuwaaminisha watanzania

hivi wanaoa kwa sababu ya dini au mahitaji yao.tusio na dini tunaruhusiwa wangapi?
 
tuanzishe sheria ya amri kumi za mungu, patatosha kweli na wengine wanapenda sana kuoa wake wengi hivyo?..hahaha.
 
nilimuoa ZAK juzi bungeni katuliaaaa kama jamaa yetu (EL) anavyopiga pozi lake kwenye kamera za bunge.

anyway tuombe Mungu ampe uhai zaidi maana kulihudumia taifa ni kama karata vile maana huwezi kuridhisha watu wote na ukichukulia kwamba post za usenior huwa zinamfanya mtu kuwa kipofu kuona uhalisia hata wa rangi ya nguo yake
 
nilimuoa ZAK juzi bungeni katuliaaaa kama jamaa yetu (EL) anavyopiga pozi lake kwenye kamera za bunge.

anyway tuombe Mungu ampe uhai zaidi maana kulihudumia taifa ni kama karata vile maana huwezi kuridhisha watu wote na ukichukulia kwamba post za usenior huwa zinamfanya mtu kuwa kipofu kuona uhalisia hata wa rangi ya nguo yake
We msanii wewe!
 
nilimuoa ZAK juzi bungeni katuliaaaa kama jamaa yetu (EL) anavyopiga pozi lake kwenye kamera za bunge.

anyway tuombe Mungu ampe uhai zaidi maana kulihudumia taifa ni kama karata vile maana huwezi kuridhisha watu wote na ukichukulia kwamba post za usenior huwa zinamfanya mtu kuwa kipofu kuona uhalisia hata wa rangi ya nguo yake

watu wengine bana mnaboa!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom