Hodi hodi humu ndani, Jukwaani naingia...
Dinazade nimekusikia, mamaafacebook pia...
Honey faith We kama nakujua!! Eveline salt We Pia..
Mgirik hivi we kabila gani!? 50cent nakuja kwenu Amerika!!
Swali lipo kichwani...nalo usingizi kuninyimia!! Kuna mtu namtupia jibu lake anipe sawia..
KAKA WARUMI...we ndo wa kwenye biblia au Jina umejitupia!?
Dinazade nimekusikia, mamaafacebook pia...
Honey faith We kama nakujua!! Eveline salt We Pia..
Mgirik hivi we kabila gani!? 50cent nakuja kwenu Amerika!!
Swali lipo kichwani...nalo usingizi kuninyimia!! Kuna mtu namtupia jibu lake anipe sawia..
KAKA WARUMI...we ndo wa kwenye biblia au Jina umejitupia!?